DK MVUNGI AZIKWA MKOANI KILIMANJARO November 18, 2013, 8:56 pm Jeneza lenye mwili wa Dkt. Sengondo Mvungi likishushwa kaburini. (Picha na Habarimasai.com) MWILI wa aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini na Mhadhiri Mwandamzi wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Bagamayo (UB), Dkt. Sengondo Mvungi leo umezikwa kijijini kwao wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro. Dkt. Mvungi alifariki Novemba 12 mwaka huu akiwa katika Hospitali ya Millpark iliyopo Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa baada ya kuvamiwa na majambazi nyumbani kwake Kibamba. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU DKT. MVUNGI MAHALA PEMA PEPONI. AMEN! Previous Article Next Article KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWAHUTUBIA WANASONGEA November 18, 2013, 9:43 pm Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika viwanja vya Sokoni Bombambili mjini Songea jana wakati wa ziara yake ya kikazi katika mkoa wa Ruvuma, akikagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wananchi kushiriki shughuli za maendeleo na kuhimiza uhai wa chama. Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi akiwahutubia wakazi wa mjini Songea jana kwenye viwanja vya Sokoni Bombambili jana. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Bw. Oddo Mwisho akizungumza na wakazi wa Songea jana. Mmoja wa wasanii akitumbuiza wananchi katika mkutano huo. Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi akiwahutubia baadhi ya wananchi waliohudhuria katika mkutano huo siku ya jana. Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika mkutano huo siku ya jana. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wanafunzi wa vyuo elimu ya juu vya mjini Songea na walimu katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha ushirika na biashara.Kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi. Mmoja wa wanafunzi akitoa kero za wanafunzi hao kwa niaba ya wenzake katika mkutano huo. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akisistiza jambo katika mkutano huo. Dr.Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa akiwasalimia wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Biashara na Ushirika mjini Songea jana. Baadhi ya wanafunzi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Baadhi ya wanafunzi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA) Previous Article Next Article WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO AANZA ZIARA KATIKA MKOA WA MOROGORO KWENYE MIRADI YA UMEME November 18, 2013, 9:49 pm Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akizungumza na watendaji wa shirika la umeme nchini (Tanesco) ikiwa ni pamoja na wadau wa umeme mjini Morogoro kabla ya kuanza rasmi ziara yake kwenye miradi ya umeme. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akitoa maelekezo kwa meneja wa Tanesco mkoa wa Morogoro Deogratius Ndamugoba mara baada ya kujionea moja ya transfoma iliyojengwa kwa ajili ya kupeleka umeme katika kijiji cha Matombo kilichopo katika wilaya ya Morogoro Vijijini. Kazi ya kuweka umeme ikiwa ni pamoja na kufunga mita ikiendelea kwenye moja ya nyumba zilizopo katika kijiji cha Mtombozi kilichopo katika wilaya ya Morogoro Vijijini. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mtombozi kilichopo katika wilaya ya Morogoro Vijijini wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya umeme. Meneja wa Tanesco mkoa wa Morogoro Deogratius Ndamugoba akitoa ufafanuzi wa maendeleo ya miradi ya umeme katika kijiji cha Mtombozi mbele ya Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akisalimiana na mmoja wa wakazi wa kijiji cha Ngong’oro kabla ya kusikiliza kero zao ikiwa ni pamoja na kuzungumza nao Mwenyekiti wa kijiji cha Ngong’oro Mahamba Shukuru akiwasilisha changamoto katika upatikanaji wa huduma ya umeme katika kijiji hicho kwa Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo ambapo Waziri huyo ameahidi kufanyia kazi mara moja kupitia kwa watendaji wake. Previous Article Next Article KIBADENI, JULIO WATIMULIWA SIMBA November 19, 2013, 12:05 am Julio na Kibadeni wameondolewa kazini baada ya kamati ya utendaji iliyokutana jana kufikia uamuzi kwamba wawili hao utendaji wao si sahihi. Julio na Kibadeni. Tayari Simba imekamilisha mazungumzo na kocha mwingine mzungu, si yule Bobby Willliamson ambaye aliandikwa na gazeti moja nchini kwamba ndiye kocha mpya wa Simba. Previous Article Next Article BREAKING NEWS: RAGE ASIMAMISHWA SIMBA November 19, 2013, 12:07 am 1 Alhaj Ismail Aden Rage KIKAO cha Kamati ya Utendaji ya Simba SC kilichokutana jana, kimefikia uamuzi wa kumsimamisha Mwenyekiti wa klabu hiyo, Alhaj Ismail Aden Rage kwa kukiuka taratibu na maadili ya uongozi. Simba SC imeitisha Mkutano na Waandishi wa Habari ambao utafanyika saa 5:30 makao makuu ya klabu, Mtaa wa Msimbazi, Dar es Salaam kuelezea kwa undani suala hilo. Wazi hatua hii inazidi kuivuruga klabu, kwani tayari aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ naye amejiuzulu na nafasi yake inashikiliwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Joseph Itang’are ‘Kinesi’.Maana yake Simba SC inaendeshwa bila kiongozi Mkuu wa kuchaguliwa na hiyo inaweza kushinikiza uchaguzi haraka. HABARI ZAIDI ZITAFUATIA BAADA YA MKUTANO WA KLABU NA WAANDISHI WA HABARI. Previous Article Next Article BREAKING NEWS: KOCHA MPYA WA SIMBA NI LOGARUSIC WA CROATIA November 19, 2013, 1:20 am Baada ya kuwatimua makocha wake, Abdallah Kibadeni na msaidizi wake, Jamhuri Kiwhelo ‘Julio’, Simba sasa imemchukua kocha Zdravko Logarusic raia wa Croatia. Tayari Simba imemaliza mazungumza na kocha huyo na anatarajia kutua nchini hivi karibuni kwa ajili ya kusaini mkataba na mara moja kuanza kazi. Kabla ya hapo, Logarusic alikuwa kocha wa Gor Mahia ya Kenya aliyoifundisha kwa misimu miwili akisha nafasi ya pili. Msimu huu ulikuwa wa mwisho, lakini aliondoka katikati na nafasi yake kuchukuliwa na Bobby Williamson ambaye kuna gazeti liliandika anajiunga na Simba, kitu ambacho hakikuwa sahihi. Baadaye Bobby alikanusha kuwa amefanya mazungumzo na Simba na ataendelea kubaki Kenya. Previous Article Next Article IRENE UWOYA AONESHA TATTOO YAKE MPYA ILIYOPO KIUNONI. November 19, 2013, 6:09 pm Previous Article Next Article NIPO RADHI KUBADILI DINI ILI NIOLEWE NA HUYU MKAKA".....DIVA WA CLOUDS FM November 19, 2013, 6:16 pm Mwanadada mtangazaji Diva aka the Bawse, yupo tayari kubadili dini ili aweze kuolewa na mwanaume aitwaye Omar Borkan, na wala mtangazaji huyo hatojali hata akiwa mke wa ngapi, ilimradi aolewe na mwanaume huyo. Kupitia mtandao wa instagram mtangazaji huyo alipost picha ya mwanaume huyo na kuandika manano haya ” Hata dini ntabadili wallah… Anioe tu huyu kaka … Hata mke wa ngapi poa @omarborkan isn’t he just a cute man on earth guys? ” wpid-IMG-20131119-WA0000.jpg Omar Borkan ni mwanaume mwenye asili ya kiarabu na anafanya shughuli za Photographining, mwandishi wa mashahiri na pia ni Actor kutoka Dubai, mwanaume huyu anamvuto kiasi cha kuwachanganya wakina dada wengi. Kutokana na mvuto wake huo, Omar Borkan alishawahi kuponzwa na umvuto wake alionao kiasi cha kufikia kufukuzwa katika moja ya sherehe Riyadh na polisi wa kidini ya kiislam. Na pia kaka huyu alipewa amri ya kuondoka kabisa nchini Saudi Arabia kwa kuwa atakuwa akiwachanganya wanawake kwa mvuto wake. Previous Article Next Article KAMATI KUU CHADEMA KUJADILI MAZITO LEO November 19, 2013, 6:36 pm Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo inaanza kikao chake cha siku mbili ikitarajiwa kujadili masuala mazito, hasa misukosuko iliyokikumba katika siku za karibuni. Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika PICHA|MAKTABA Taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema, John Mnyika ilisema kikao hicho kitakachofanyika Dar es Salaam kitapokea, kujadili na kufanya uamuzi wa masuala mbalimbali ikiwamo hali ya siasa na ripoti ya fedha. “Suala mojawapo litakuwa kujadili mihutasari ya mikutano iliyopita na yatokanayo na mikutano hiyo, taarifa ya hali ya siasa na ripoti ya fedha,” ilisema taarifa hiyo ya Mnyika, ambaye yuko ziara ya kikazi huko Uturuki. Pia utajadili mchakato na maudhui ya mabadiliko ya katiba, taarifa ya utekelezaji wa Programu ya Chadema ni Msingi na shughuli za kanda na taarifa ya utekelezaji wa Mpango Mkakati kuhusu maboresho. Chadema katika mawimbi makali Miongoni mwa mambo ambayo yanatarajiwa kujadiliwa katika kikao hicho ni mustakabali wake katika kipindi hiki ambacho kinapita katika mawimbi makali kutokana na kuibuka kwa malumbano ya waziwazi baina ya viongozi wake waandamizi na pia kusimamishwa kwa baadhi ya viongozi wa mikoani. Matukio ya karibuni yanajumuisha malumbano kati ya Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuhusiana na masuala ya posho, kusimamishwa kwa Mwenyekiti wa Chadema wa Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba, kuvunjwa kwa uongozi wa Mkoa wa Mara na pia kuondolewa kikaoni kwa Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda. Wafuatiliaji wa mambo ya siasa watakuwa wanakitazama kikao hiki kama fursa ya kuweka sawa mambo ili kiendelee kutoa ushindani kwa chama tawala. Alipoulizwa kama matukio ya hivi karibuni yatajadiliwa katika kikao hicho, Mnyika alikataa kuingia kwa undani na badala yake alisema taarifa zitatolewa baada ya kikao. “Niko nje ya nchi, mengine utapewa majibu kesho (leo) kwa yale ambayo yatakuwepo katika taarifa zitakazowasilishwa. Yale ambayo hayatakuwepo utajulishwa pia iwapo hayatajadiliwa,” alisema Mnyika. Zitto na Lema Zitto na Lema waliingia katika vita ya maneno mwanzoni mwa Novemba kuhusiana na masuala ya posho ya vikao. Vita hiyo ilianzishwa na Lema katika kikao cha wabunge wiki iliyopita aliposema kuwa Zitto anafanya unafiki kukataa posho. Lema alimtuhumu Mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini kwamba anakataa posho za vikao bungeni, lakini anapokea posho nyingi kutoka mashirika mbalimbali ya kijamii nchini. Lema aliweka tuhuma hizo kwenye Mtandao wa Jamii Forum huku akisema suala hilo halihitaji vikao vya chama kulijadili isipokuwa vyombo vya habari na hususan, mitandao ya kijamii kwani hata Zitto hutumia mitandao hiyo. Akijibu hoja hizo, Zitto alisema tangu siku nyingi alikwisha piga marufuku kwenye Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kupokea posho kutoka taasisi au mashirika yanayosimamiwa na kamati hiyo. Alisema tangu alipokuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma(POAC), alipiga marufuku posho na pia aliwahi kuwashtaki Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) wabunge wanaochukua posho kutoka taasisi za Serikali. Ripoti kuhusu Zitto mtandaoni Zitto pia alipata msukosuko mwingine baada ya kusambazwa ripoti inayoitwa ‘Taarifa ya Siri ya Chadema’ iliyomtuhumu kuwa alikuwa anashirikiana na CCM na viongozi wa Idara ya Usalama wa Taifa kuhujumu chama hicho. Ripoti hiyo inayodaiwa kuwa iliandaliwa na Idara ya Upelelezi ya Chadema, ilieleza kuwa Zitto alikuwa akipokea fedha kutoka kwa maofisa wa usalama na kuzisambaza kwa makada wengine wa chama hicho ili wafanye kazi ya kukihujumu. Hata hivyo, Chadema kupitia kwa Mnyika ilitoa taarifa kupinga vikali suala hilo. CAG kukagua ruzuku Pia, Zitto aliingia katika malumbano na chama chake baada ya kutuhumu vyama vya siasa kuwa hesabu zake hazikaguliwi na CAG. Chadema ilipinga vikali madai hayo na kueleza kuwa imekuwa inatumia taasisi binafsi kufanya kazi hiyo. Mwigamba, Shibuda na uongozi Mara Suala jingine linalotazamiwa kujadiliwa katika kikao hicho ni kusimamishwa kwa Mwigamba na Baraza la Uongozi Kanda ya Kaskazini ambako kulizuka vurugu kiasi cha kunyang’anywa kompyuta mpakato (laptop) baada ya kudaiwa alikuwa anasambaza taarifa za kuhujumu chama hicho. Suala lake linasubiri uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu kama lile la kuvunjwa kwa uongozi wa Chadema wa Mara. Pia kitendo cha Baraza la Kanda ya Ziwa Mashariki kumtimua Shibuda kwa madai kwamba halina imani naye nacho kina uwezekano mkubwa wa kujadiliwa. Kutokana na mbinu zote kugonga mwamba ndipo fundi huyo alipoamua kutumia njia ya mkato ya kumkamata kwa nguvu na kutaka kumbaka chooni kabla ya binti huyo kuamua kupambana na kuishia kuchaniwa sketi yake. Hali hiyo ilimfanya binti huyo kutimua mbio na kuomba msaada kwa mama yake aliyekuwa amelala chumba cha pili. Kufuatia mayowe ya kuomba msaada aliyoyatoa binti huyo, mama yake na majirani waliamka wakamkamata mtuhumiwa na kumpeleka polisi. Hakimu Masua alisema kuwa kutokana na ushahidi uliotolewa, Hussein alipotakiwa kujitetea alikana kwa madai kwamba hakuweza kuzungumza chochote katika mahakama hiyo. Hivyo hakimu, alisema kutokana na mtuhumiwa huyo kutenda kosa hilo kwa mara ya kwanza mahakama ilipaswa kumfunga jela kwa miaka mitano kwa kosa hilo la shambulio la aibu kifungu cha 135 kanuni ya adhabu namba 6 marejeo mwaka 2002. “Mahakama hii inakuona na hatia hivyo inakupunguzia adhabu kutoka miaka mitano uliyopaswa kutumikia na kufungwa mwaka mmoja jela na ukitoka utatakiwa kumlipa mlalamikaji kiasi cha shilingi 200,000,” alisema hakimu huyo. CREDIT MWANANCHI Previous Article Next Article MAINDA ATISHIWA KUUAWA RAY, JOHARI, CHUCHU HANS November 19, 2013, 6:41 pm SIKU chache baada ya staa wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ kufunguka kuhusu mambo mazito yaliyomo ndani ya tasnia ya filamu, staa huyo ameanza kupokea vitisho vya kukatishwa uhai wake. Kwa mujibu wa watu walio karibu na Mainda, staa huyo amekuwa akiandamwa na simu za vitisho zinazomtaka kuacha kuongelea habari zao la sivyo watamteka na kumfanyia kitu mbaya. Baadhi ya wasanii wamekuwa wakimuoneshea vidole staa huyo kwa mambo mawili, wengine wakimuona kama ni jasiri na wengine wakiwa na chuki naye. “Kuna baadhi ya watu wanamsifu Mainda na wengine wanamsema vibaya kiasi cha kumwambia kwamba siku zake za kuishi zinahesabika,” alisema mmoja wa watu hao. Mbali na Mainda kutoboa uhusiano wake wa kimapenzi na Ray, pia aliweka wazi jinsi wasanii wenzake, Blandina Chagula ‘Johari na Chuchu Hans, walivyomuingilia kwenye penzi lake hilo. Aidha, msanii huyo ambaye pia hupenda kujiita Small Baby aliliponda kundi la Bongo Movie Unit kwa kusema kuwa limejaa uchafu. Risasi Mchanganyiko liliwasaka Ray, Johari na Chuhu ili kuweza kupata mzani wa habari kuhusiana na kile alichokiongea Mainda lakini wasanii hao wamekuwa wakiogopa kusema chochote. Katika hali ya kuonesha kumhofia Mainda, Ray amekacha miadi na mwandishi wetu mara kadhaa. Naye Johari amekuwa akisema kwamba Mainda amewavua nguo huku akikataa kufunguka zaidi. Kwa upande wake, Chuchu amekuwa akigoma hata kupokea simu za waandishi wetu. Gazeti hili lilipomtafuta Mainda alisema hakuna kitu anachokiogopa chini ya jua. “Kwanza sioni kibaya nilichokiongea, bado nina mambo mengi zaidi ya hayo,” alisema staa huyo na kuongeza kwamba hakuna mtu wa kumziba mdomo. “Ninachoweza kuwaambia ni kwamba niko tayari kufia kwenye mapambano, sitaogopa chochote,” alisema Mainda. CREDIT:GPL Previous Article Next Article KAJALA KESI UPYAAA November 19, 2013, 7:08 pm 1 Kajala Masanja. AMA kweli hujafa hujaumbika! Bado bundi anamnyemelea staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja baada ya kurejeshwa kortini kwa mara nyingine huku kesi ikimjia upya. MUME AKATA RUFAA Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anatarajiwa kuhukumiwa tena Novemba 25, mwaka huu baada ya mumewe, Faraji Agustino Chambo kukata rufaa katika mahakama kuu. Kwa mujibu wa jaji aliyezungumza kuna kila dalili wawili hao wakaachiwa huru au wakafungwa tena kwa adhabu kubwa zaidi ya ile ya awali, hivyo huu ni msala mpya kwa Kajala ambaye tayari alikuwa uraiani. Kesi iliyokuwa ikiwakabili wanandoa hao ilihusiana na utakatishaji wa fedha haramu uliofanywa na mume wa Kajala wakati akifanya kazi kwenye Benki ya NBC, Dar. Mume wa staa huyo ndiye anadaiwa kukata rufaa wakati akitumikia kifungo cha miaka saba jela baada ya kukutwa na hatia. Habari za ndani zilieleza kwamba, Kajala alisharidhika na hukumu iliyotolewa Machi 25, mwaka huu ambapo yeye alitakiwa kufungwa mitatu au kulipa faini ya shilingi milioni 13. Katika hukumu hiyo, mume wa Kajala alifungwa miaka saba na ndipo alipoamua kukata rufaa na akamuingiza Kajala kwa maelezo kuwa wote hawakuridhishwa na hukumu iliyotolewa mwanzoni. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Kajala, staa huyo amekuwa katika wakati mgumu na mara nyingine na kujikuta akiangua kilio hasa anapokumbuka maisha ya gerezani. KAJALA KORTINI Ili kuthibitisha habari hizo, juzi (Jumatatu) Kajala akiwa na shosti wake, Wema anayehaha kumnasua, alipigwa chabo na mashushushu wetu wakitinga tena katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Habari zilieleza kuwa jaji ambaye alikuwa akipitia ya hukumu ya awali ya wanandoa hao, alidai kwamba Jaji Temba aliyetakiwa kutoa hukumu ya kesi hiyo upya alikuwa anaumwa. HUKUMU NOVEMBA 25 Kufuatia kuumwa kwa hakimu huyo, kesi hiyo iliahirishwa hadi Novemba 25, mwaka huu, ambayo itakuwa siku ya hukumu huku ikielezwa kuwa kila kitu kipo tayari. Akiwa katika viunga vya mahakama hiyo, Kajala alionekana mwenye wasiwasi na woga kwa sababu hakuwa anajua kama anaweza kuburuzwa kortini kwa mara nyingine kuhusiana na suala hilo kwa kuwa aliamini alishamaliza kwa kulipa faini ya Sh. milioni 13 kisha kurejea uraiani huku mumewe akienda jela. Kajala alisema anaomba Mungu ili kikombe hicho kimuepuke kwani alishasahau kama anaweza kurudi kortini. “Sikudhani kwa kweli kama ninaweza kurudi mahakamani, Mungu anisaidie kwa kweli…” alisema Kajala. Naye Wema alipigwa na mshangao baada ya kuona kesi hiyo imeibuka tena. “Siku ile niliuliza kilikuwa kinahitajika nini ili Kajala awe huru, nikaambiwa milioni 13, nikatoa, sasa iweje tena arudishwe mahakamani?” alihoji na kuonesha wasiwasi mkubwa baada ya kuambiwa kuwa Kajala anaweza kufungwa kwa kuwa hukumu inapitiwa upya. Wakili wa Kajala, Peter Kibatala alisema anapambana kunyoosha sheria kuhakikisha mteja wake anakuwa huru. CREDIT: GPL Previous Article Next Article Wanaomiliki silaha waonywa November 20, 2013, 5:16 pm JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kali kwa watu wanaotumia vibaya silaha walizomilikishwa. Onyo hilo lilitolewa jana na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP), Advera Senso, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari na kuwataka watu hao kuacha mara moja tabia hiyo na badala yake wazingatie sheria na masharti waliyopewa wakati wa umilikishwaji. Alisema kutokana na kushamiri kwa vitendo hivyo katika jamii, jeshi hilo linaanza operesheni kali ya kuwabaini wote wanaofanya vitendo hivyo, ikiwa ni pamoja na kuwanyang’anya silaha hizo kwa wale watakaobainika kwenda kinyume cha sheria na matumizi ya silaha zao. “Katika siku za hivi karibuni, imebainika baadhi ya watu waliomilikishwa silaha kihalali wamekuwa wakitumia silaha hizo kinyume cha malengo mazuri ya umilikishwaji. Baadhi yao wamekuwa wakitoa vitisho kwa wananchi kwa kutumia silaha hizo bila sababu za msingi wawapo katika maeneo mbalimbali, kama vile kwenye mabaa, kumbi za starehe na hata kulipizana visasi, jambo ambalo ni kinyume cha sheria na malengo ya umilikishwaji. “Jeshi la Polisi linatoa wito kwa wananchi wote wazalendo na wenye mapenzi mema na nchi yetu kutoa taarifa zitakazosaidia kuwabaini watu wanaojihusisha na vitendo hivyo, ili waweze kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria,” alisema Advera katia taarifa yake hiyo. Alisema wananchi wanaweza kutoa taarifa kupitia namba ya simu 0754785557 pamoja na namba za simu za makamanda wa mikoa au kwenye kituo chochote cha Polisi. Previous Article Next Article Babu Seya kucheka au kulia leo? November 20, 2013, 5:25 pm MAHAKAMA ya Rufani leo inatarajia kutoa uamuzi wa ama kulikubali au kulikataa ombi la marejeo lililowasilishwa na mwanamuziki wa dansi nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae, Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme’, ambao waliomba mahakama hiyo ifanyie marejeo hukumu ya kifungo cha maisha iliyoitoa Februari 2010, kwa kuwa ina dosari za kisheria na kuwaachia huru. Kwa mujibu wa hati ya wito wa mahakama iliyotolewa kwa mawakili wa pande zote mbili, mahakama imemtaka Babu Seya na mwanae pamoja na mawakili wa pande zote kufika leo mahakamani ili wapokee uamuzi wa maombi hayo. Oktoba 30 mwaka huu, jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Nataria Kimaro, Salum Massati na Mbarouk Mbarouk, walisikiliza ombi hilo lililowasilishwa mahakamani hapo na wakili wa waomba rufani, Mabere Marando. Wakili Marando alidai kwa mujibu wa kanuni ya 66 ya Mahakama ya Rufaa ya mwaka 2009 inatoa mamlaka kwa Mahakama ya Rufaa kufanya mapitio ya hukumu inazozitoa, hivyo wateja wake wamewasilisha ombi hilo kwa sababu wanaamini mahakama ilikosea kisheria katika hukumu yake Februari 2010. “Waheshimiwa majaji, kwa sababu jopo lenu katika hukumu yake lilikiri wazi wazi kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilikosea kurekodi ushahidi wa watoto waliodai walitendewa vibaya na waomba rufaa (Babu Seya na Papii) na sheria za nchi zinasema endapo mahakama itabaini kuwa mahakama ya chini ilikiuka taratibu za kurekodi ushahidi wa watoto wadogo, basi ushahidi ule wa watoto wadogo uliotumika katika mahakama ya chini kuwatia hatiani washitakiwa unafutwa na waomba rufaa au washitakiwa wanaachiwa. “Nafahamu ni kazi ngumu kuwashawishi nyie majaji kubadili uamuzi wenu mlioutoa katika hukumu ya Februari 2010, ambapo uliwatia hatiani wateja wangu, ila kwa utetezi huo wa kisheria niliouainisha unaonyesha katika hukumu yenu mlikubaliana na hoja yangu kuwa Mahakama ya Kisutu ilikosea kurekodi ushahidi wa watoto wadogo, naamini mtatumia busara zenu na kufuata sheria na leo naiomba mahakama iwaachie huru wateja wangu,” alidai Marando. Mawakili wa upande wa mjibu maombi (DPP), Angaza Mwipopo, Jackson Mlati, Imaculata Banzi na Joseph Pande, waliomba mahakama itupilie mbali ombi hilo, kwa kuwa sababu zote alizozitoa alizieleza wakati wa usikilizwaji wa rufaa na ziliamuliwa katika hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo Februari mwaka 2010. Jackson alidai kama Marando anaona hukumu ya mwaka 2010 ilikuwa na dosari, angeomba mahakama hiyo impangie jopo la majaji watano wa kusikiliza ombi na si ombi lake kusikilizwa na jopo la maji watatu wale wale waliotoa hukumu hiyo ambayo anadai ina dosari. Aliyekuwa Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Addy Lyamuya na aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Thomas Mihayo, waliwatia hatiani waombaji na kuwafunga kifungo cha maisha jela, lakini jopo hilo la majaji watatu liliwatia hatiani Babu Seya na Papii Kocha na kuwaachia wanae wawili. Previous Article Next Article WABUNGE WAWILI WA CCM, ROSESWEETER KASIKILA NA PROFESA JUMA KAPUYA, WAMECHAFUKA November 20, 2013, 5:35 pm WABUNGE wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rosesweeter Kasikila na Profesa Juma Kapuya, wameingia katika kashfa mbaya ya kimapenzi inayoweka hatma yao kisiasa shakani. Rosesweeter Kasikila na Profesa Juma Kapuya. Kashfa za wabunge hao wa CCM zinatokana na hatua yao ya kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa nguvu na vijana wadogo. Rosesweeter ambaye ana umri wa miaka 60, yuko katika kashfa ya kufunga ndoa na kinda wa miaka 26, Michael Christian, wakati Profesa Kapuya anahaha kujinasua na kashfa inayomzingira ya kumbaka binti wa miaka 16, ambaye sasa anatishia kumuua baada ya kumwaga mtama hadharani. Ukija kwenye kashfa ya Rosesweeter kufunga ndoa na kijana wa miaka 26 sio kosa kisheria, lakini wadadisi wa mambo wanasema kimaadili ndoa hiyo haikupaswa kufungwa kutokana na umri wa bibi harusi kuwa mkubwa kiasi kwamba hana uwezo tena wa kuzaa wakati bwana harusi ndiyo kwanza kijana wa miaka 26 tu. Wakati Profesa Kapuya anadaiwa kumbaka msichana huyo mwaka 2011, Rosesweeter naye alifunga ndoa na kijana huyo mwaka huo huo, Septemba Mosi. Kabla ya wawili hao kuamua kufunga ndoa, mbunge huyo kutoka mkoani Rukwa, mwenye makazi yake Bagamoyo mkoani Pwani, alikuwa akimtumia Michael kwenye shughuli mbalimbali na muda wote alikuwa akiishi nyumbani kwake. Inaelezwa kuwa mbunge huyo ambaye ana familia ya watoto wawili ambao kiumri wanalingana na Michael, alianza uhusiano wa kimapenzi na kijana huyo kwa siri kubwa na baadaye alifanikiwa kumshawishi wafunge ndoa huku akimuahidi kumpa huduma mbalimbali anazotaka. Hata hivyo, kashfa ya Rosesweeter kwa sasa imeongezeka baada ya kuamua kuzuia vyeti vya shule vya kijana huyo baada ya kufunguka macho na kuamua kuachana na ndoa hiyo ambayo kwa vigezo vyote ni batili. Wakati kijana huyo ameamua kuvunja ndoa hiyo kwa kile alichoeleza kukosa uhuru, manyanyaso na mambo mengine, mbunge huyo anasisitiza kuwa ndoa hiyo bado halali kwani haijavunjwa kisheria na kuongeza kuwa kinda huyo bado ni mume wake. Mbunge huyo bila kumung’unya maneno anakiri kufunga ndoa na kinda huyo na kuitangazia jamii kuwa kijana ndiye aliyemdanganya na kumtaka wafunge ndoa hiyo ambayo hadi leo imebaki kuwa gumzo nchini. Hata hivyo, ndoa anayosisitiza mbunge huyo kuwa ni halali, inaelezwa kuwa ni batili kutokana na ukweli kwamba imefungwa bila kuzingatia vigezo kwani haijatangazwa mara tatu kama sheria ilivyotaka, imefungwa kwa siri bila wasimamizi wala mashuhuda katika Kanisa la Mikocheni B Assemblies Of God Mlima wa Moto linaloongozwa na Mchungaji Getruda Rwakatare. Tayari wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini wameandika barua kwa Waziri wa Mambo ya Ndani kutaka aingilie kati kumsaidia Michael apate vyeti vyake vya shule, vinavyoendelea kushikiliwa na mbunge huyo na kusisitiza kwamba hawezi kuvitoa kwani bado kijana huyo ni mumewe. Kashfa ya Kapuya Kashfa ya Profesa Kapuya ya kudaiwa kumbaka msichana wa miaka 16, ni aibu kwa mbunge huyo ambaye amepata kuwa waziri. Mbunge huyo maarufu nchini, anadaiwa kumbaka binti hiyo kwenye hoteli moja ya kitalii iliyoko jijini Dar es Salaam mwaka 2011, na kurudia tena kitendo hicho ndani ya ofisi yake katika jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala Juni 3, 2012 alipoitwa kwenda kuchukua ada kwa mara ya pili. Wakati Serikali inakusudia kufungua mashitaka mawili ya kubaka na kutishia kuua dhidi ya Profesa Kapuya, waziri huyo wa zamani bila woga ameendelea kutuma ujumbe mfupi kupitia simu yake ya mkononi kwa binti huyo na kusisitiza kuwa lazima amuue. Profesa Kapuya amekuwa akitumia simu yake kuhamisha fedha kwenda kwa binti huyo ambaye hivi karibuni katika baadhi ya vyombo vya habari alikana kumfahamu na hajawahi kukutana naye. Amekuwa akihamisha fedha kutoka kwenye simu yake namba 0784993930 iliyosajiliwa kwa jina lake kwenda kwa namba inayomilikiwa na binti huyo. Tayari serikali kupitia Jeshi la Polisi, imesema inakusudia kufungua mashitaka mawili dhidi ya mbunge huyo. Mashitaka yanayotajwa kumkabili Kapuya ni ya ubakaji na kutishia kuua. Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliliambia gazeti hili juzi kuwa jeshi lake halitakuwa na sababu ya kumuacha mbunge huyo aendelee kutamba mitaani huku akituma ujumbe wa vitisho kwa binti wa miaka 16 anayedaiwa kumbaka. Kutokana na mfululizo wa habari hiyo ambayo imekuwa ikichapishwa na gazeti hili, Profesa Kapuya kupitia kwa wakili wake Yasin Memba, ametishia kuliburuza mahakamani endapo halitamwomba msamaha ndani ya siku saba. Mbali na kutishia kulipeleka gazeti hili na baadhi ya mitandao ya kijamii mahakamani, pia Profesa Kapuya alikana kumfahamu binti anayedai alibakwa huku akikanusha kumiliki simu namba 0784993930 ambayo imekuwa ikitumiwa kuwasiliana naye ikiwemo kumtumia ujumbe mfupi wa maneno (sms) wa vitisho. CHANZO NI TANZANIA DAIMA Previous Article Next Article Wachina wakutwa na kiganja cha mfanyakazi wao November 20, 2013, 5:41 pm WACHINA wawili wa Kiwanda cha Urafiki Plastic cha jijini Dar es Salaam wanashikiliwa na polisi wa Kituo cha Magomeni kwa tuhuma za kukutwa na kiganja cha mfanyakazi wao, Jumanne Rashid, kilichofukiwa kwenye eneo la kiwanda hicho. Mmiliki wa kiwanda hicho, Lee Sliim, akiwa ndani ya gari la Polisi kuelekea kituoni kwa mahojiano zaidi. Akielezea tukio hilo kwa waandishi wa habari jana, ndugu wa Jumanne aliyejitambulisha kwa jina la Rehema Rashid, alisema Novemba 17 mwaka huu majira ya saa 3:00 usiku walipata taarifa kuwa ndugu yake alipata ajali ya kukatwa mkono na mashine kiwandani hapo. Alisema baada kupata ajali hiyo, Wachina hao kwa kusaidiana na wafanyakazi wengine walimpeleka katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu, ambapo ndugu wote waliendelea na huduma ya kumuuguza. Mkono wa mtu uliopatikana kandokando ya Kiwanda cha kutengeneza mifuko ya Viroba na Plastiki, Mababi jijini Dar. Rehema alisema jana wakiwa katika pilikapilika za kwenda kumjulia hali ndugu yao, walipata taarifa kwa wasamaria wema kwamba kiganja cha mkono wa ndugu yao kimeonekana kikiwa kimefukiwa pembezoni mwa kiwanda hicho. “Leo asubuhi tukiwa katika maandalizi ya kwenda kumwona Jumanne, tulipata taarifa kutoka kwa wasamaria wema ambao wanafanya shughuli za kufua vyuma chakavu karibu na kiwanda hicho wakitutaka twende kutambua kama kiganja kilichofukiwa ni chake,” alisema Rehema. Previous Article Next Article FUMANIZI LA JB UTATA MTUPU November 21, 2013, 6:04 pm STAA wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ hivi karibuni amedaiwa kufumaniwa hotelini na mke wa mtu wakivunja amri ya sita. Jacob Steven ‘JB’ Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita katika hoteli ya Royal Village iliyopo Dodoma ambapo JB alikutwa na mke wa mtu aliyetambulika kwa jina la Sara wakivunja amri ya sita. ISHU ILIKUWA HIVI Akizungumza kwa masikitiko mume wa Sara ambaye ni dj maarufu Dodoma, Dj Rama alisema alifuatilia nyendo za mkewe huyo kwa siku nzima na mawasiliano yake ambapo ambapo kwa muda mrefu alikuwa akiwasiliana na JB ambaye waliagana kukutana katika hoteli hiyo. Ilipofika saa tatu usiku Dj Rama alifika ndani ya hoteli hiyo na kuingia na kwenda kugonga kwenye chumba alichokuwa amelala na mwanamke huyo ambapo aligonga kwa muda mrefu baadaye sana ndipo mlango ukafunguliwa. JB ASHUSHIWA KIPIGO Baada ya mlango kufunguliwa JB alipokea kipigo cha haja kutoka kwa dj huyo ambapo wahudumu wa hoteli na polisi waliokuwa wanafanya doria katika shoo ya Jahazi iliyokuwa ikiendelea kwenye ukumbi wa hoteli hiyo walienda kumuokoa huku mwanamke aliyekuwa naye akitoroshwa kimyakimya. Baada ya kuokolewa JB na mume wa mtu huyo walipelekwa katika kituo cha polisi cha Area D ambapo maelezo yalichukuliwa na kutakiwa kesho yake warudi. Dj Rama aliendelea kueleza kuwa kesho yake waliporudi polisi alishinikizwa kuwa akubali yaishe ambapo walilazimishwa kuelewana. WALIKUTANAJE NA JB? Kwa mujibu wa mume alisema alipojaribu kumuuliza mkewe huyo walikutana vipi na JB alimweleza kuwa walikutana club ambapo walibadilishana namba na kuendelea kuwasiliana. Mwanamke huyo aliyeshikwa ugoni hakurudi nyumbani tangu siku hiyo mpaka leo ambapo mumewe alieleza kuwa amuhitaji tena kwani alikuwa mchumba wake bado hawajafunga ndoa. “Mimi simuhitaji tena japokuwa ana mimba ya miezi mine na sina uhakika kama ni ya kwangu kwani tabia zake sizielewi kabisa bora niachane naye naamini Mungu atanipatia mwanamke sahii kwangu,”alisema Dj Rama. JB ALIFUATA NINI DODOMA? Dj Rama alieleza kuwa JB alienda Dodoma kwa mwaliko wa wasanii wa filamu waliokuwa wanazindua filamu yao na kumfanya yeye kuwa mgeni rasmi ndipo akapata nafasi ya kufanya ufuska huo. JB ANASEMAJE? Mapaparazi wetu walimtafuta kwa hali na mali JB kwa njia ya simu lakini baada ya mwandishi kujitambulisha na kabla hajazungumza chochote JB alisema amuache kwanza kwani yupo bize na shooting. Habari na Mapaparazi wetu. Previous Article Next Article NDOA YA THEA, MIKE CHALI November 21, 2013, 6:19 pm KWELI ndoa ndoana. Ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na kufuatiwa na tafrija kubwa kati ya wasanii wa filamu za Kibongo, Salome Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na Mike Sangu imevunjika rasmi baada ya mizozo ya mara kwa mara. ‘Thea’ na Mike Sangu siku ya ndoa yao. Chanzo makini cha kuaminika kilichopo karibu na wanandoa hao kimesema ndoa hiyo ilivunjika rasmi Oktoba mwaka huu na sababu kubwa ikiwa ni kupigana mara kwa mara. “Unajua nyie mliandika ndoa imevurugika na Thea ameenda kwao eti atarudi watakapokaa na kuyazungumza, mmefichwa, Mike na Thea wameshaachana na hakuna anayemhitaji mwenzake tena na Thea ameondoka na vyombo vyake vyote,” kilisema chanzo hicho. Inadaiwa kwamba hata katika msiba wa dada yake Mike uliotokea hivi karibuni, Thea ingawa alikuwepo, lakini hakujishughulisha na lolote wala sare ya msiba hakuvaa na aliyeonekana kuchukua majukumu yake ni mke wa zamani wa Mike aitwaye Kuruthum Mpalu ‘Ummy’. “Siku hiyo kila kitu kilikuwa wazi, mlishindwaje kubaini? Thea hakuwa karibu kabisa na alikuwa na mawazo tele, Ummy ndiye alikuwa ‘mother house’ na wengine wanadai amerudiana rasmi na Mike,” kiliendelea kutoboa chanzo hicho. Kufuatia nyeti hizo, waandishi wetu walimsaka Thea na kufanikiwa kumpata bila hiyana akaweka mambo hadharani. “Mh mnatafuta umbeya tu hapa, mimi nimeachana na Mike mbona siku nyingi tu, nyinyi ndiyo mnajua leo?” aliuliza. Katika hilo, Thea alisema ana sababu nyingi zilizomfanya kuachana na Mike na kwamba baadhi yake hawezi kuziweka hadharani, lakini kubwa ni vipigo vya mara kwa mara kutoka kwa mwanaume huyo, kiasi kwamba ameshindwa kuvumilia kutokana na hasira alizonazo. Thea alisema baada ya kuachana na Mike, ameamua kupumzika mambo ya wanaume kwa miaka miwili kabla ya kuamua vinginevyo maana ndoa hiyo imemchosha. “Siwezi kusema sitaolewa tena, ila napumzika na ikitokea kuolewa itakuwa ni baadaye sana lakini katu sitarudi kwa Mike labda Yesu arudi,” alimalizia Thea. Kwa upande wake, Mike alipopigiwa simu na kuulizwa kuhusu ndoa yake na Thea alikiri kuwepo kwa jambo hilo, akisema haelewi hasa kisa ni nini, lakini anaamini atajua baada ya muda siyo mrefu. “Thea ameondoka kweli. Kuhusu siku ya msiba wa dada ni kweli Ummy alikuja na kunisaidia, lakini siyo kama tumerudiana isipokuwa yule ni mzazi mwenzangu na alijua kwamba Thea hayupo, ni hivyo.” Previous Article Next Article WEMA, JOKATE WAMPONZA DIAMOND November 21, 2013, 6:42 pm Gumzo kubwa kwenye harusi ya staa wa dunia katika Kundi la P-Square wanaotarajiwa kuangusha shoo Bongo kesho, Peter Okoye mwishoni mwa wiki iliyopita, ni mwaliko wa msanii pekee wa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye alipondwa kwa kuvaa suruali ‘njiwa’ (ya ajabuajabu). Ishu hiyo ilijiri huko Lagos, Nigeria ilikofanyikia sherehe hiyo ambapo Peter alifunga ndoa ya kimila na mrembo wa haja, Lola Omotayo huku Diamond akipata fursa ya kukutana na baadhi ya mastaa wakubwa duniani, kasoro pekee ikawa kwenye mavazi. Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo, Diamond alichemka kwa kuvaa kivazi hicho kifupi miguuni kikiwa na mistari myeupe na myeusi hivyo kusababisha kutukanwa mitandaoni. WEMA, JOKATE KIVIPI? Huku wakitumia picha za waliowahi kuwa wapenzi wa Diamond, Wema Isaac Sepetu na Jokate Mwegelo wakiwa wamevaa ‘taiti’ kama ‘kisuruali’ cha mwanamuziki huyo, walieleza kuwa inawezekana wao ndiyo walimdizainia hivyo kumsababishia matusi ya nguoni katika mitandao ya kijamii. “Mafashenista wengi wanamtukana Diamond lakini inawezekana na zile nguo kadizainiwa na Wema au Jokate kwa sababu ni staili zao. Nao wana nguo kama hizo, hebu cheki kwenye picha,” alisema mmoja wa wachangiaji wa mada hiyo katika mitandao ya Naija huku akitundika picha za Wema na Jokate wakiwa wamevaa kama Diamond. “Ni kweli Diamond amepata nafasi kubwa ya kukutana na mastaa wakubwa na kutangaza muziki wake kimataifa lakini kitu kimoja hakikwenda sawa. “Ni juu ya nguo aliyokuwa ameivaa, mashabiki wengi wa muziki nchini Nigeria walisema kachemka,” ilisomeka sehemu nyingine ya maoni ya mashabiki wa muziki nchini humo. Hata staa wa Nigeria aliyekuwa mmoja wa wenyeji wa Diamond, Iyanya alipoposti picha akiwa na Diamond pamoja na jamaa mwingine, ‘polisi jamii’ wa masuala ya mitindo waliendelea kugongea msumari wa moto kuwa Diamond akubali kuwa kachemka. STAILI YA MICHAEL JACKSON? “Iyanya, nani huyo kavaa suruali kama (marehemu) Michael Jackson? Mungu nisamehe kwa kukutenda dhambi lakini ukweli hicho kivazi hakiendani na mwili wake,” alifunguka shabiki mwingine kwenye ukurasa wa Iyanya wa Instagram. Mwingine alisema: “Najua amekopi kwa mtu wake anayemhusudu (Wema), alionekana amependeza alipovaa hivyo walipokuwa China. Ukweli (Diamond) hakupendeza au labda kachukulia kwa Jokate wa Kidoti?” ANGEENDA KUBADILISHA Baadhi ya mashabiki hao walidai kuwa Diamond alipaswa kugundua kuwa yupo tofauti na mastaa wengine ili arudi hotelini mara moja akabadilishe nguo. “Sijui alifikiria nini alipovaa hivyo, ona sasa amewaangusha na kuwadhalilisha mastaa wa Tanzania huko Afrika Magharibi. “Ukweli ni kwamba kama alimuiga Wema na Jokate kachemsha, ona sasa wamemponza kwa kuvaa njiwa ya zebra kama wao. “Diamond anajua kuvaa sana lakini anapaswa kuwa na dizaina wa kumpa ushauri wa mavazi kabla ya kwenda kwenye shughuli kubwa kama ile,” aliandika Mtanzania aishie Nigeria. KAPATA ‘KIKI’? Katika kujitetea huku akiamini kapata ‘kiki’ nchini Nigeria, Diamond alitumia ukurasa wake wa Instagram kwa kutundika picha yake akiwa na kisuruali hicho akiambatanisha na mastaa wakubwa wa Marekani kama akina Wiz Khalifa wakiwa wamevaa njiwa kama yeye kuonesha kuwa ni fasheni ya ‘mbele’. Hata hivyo, hiyo haikusaidia kwani mashabiki hao waliendelea kumponda na kumtaka kujipanga zaidi siku akipata fursa kama hiyo kwani mastaa aliojifananisha nao walivaa hivyo katika ‘iventi’ tofauti na harusi. MAMODO WANASEMAJE? Ijumaa lilizungumza na baadhi ya mamodo maarufu wa Kibongo ambao walishuhudia vazi hilo ambapo walikuwa na haya ya kusema: “Sijui ni nani aliyemdizainia lakini kilichofanyika ni kwamba alimvalisha Kimarekani, akasahau kuwa alitakiwa amvalishe Kiafrika au Kitanzania. Unajua harusi yenyewe ilikuwa ya kimila haikutaka Umarekani hata kidogo ndiyo maana watu walimponda Diamond. Naamini wakati mwingie aliyemvalisha atafanya vizuri,” alisema modo maarufu wa Kiume Bongo, Martin Kadinda. “Unajua mitindo ya mavazi unaweza ukatulia, ukadizaini kitu lakini ukifika mbele za watu wakakushangaa, hiyo ndiyo fasheni ilivyo. Simlaumu Diamond wala sisemi alitakiwa ashone khanga au kitenge lakini iwe changamoto kwa mamodo wetu waongeze ubunifu,” alisema modo mwingine. Pamoja na mambo mengine, safari ya Diamond nchini humo ililenga kwenda kufanya kolabo na mastaa wawili wa Nigeria, Davido na Iyanya. CREDIT: Global Publishers Previous Article Next Article KAMATI KUU CHADEMA YAMTEUA TUNDU LISSU KUWA MWANASHERIA MKUU WA CHAMA November 22, 2013, 5:11 am Mhe. Tundu Lissu. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imemteua Mhe. Tundu Lissu kuwa Mwanasheria Mkuu wa chama hicho. Kamati hiyo ilikaa kikao chake Novemba 20 mpaka 21 katika Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. Previous Article Next Article ZITTO KABWE AVULIWA VYEO VYOTE VYA KICHAMA! November 22, 2013, 5:12 am Chadema kimemvua Zitto Kabwe vyeo vyote vya kichama kwa muda yaani Naibu Katibu Mkuu Taifa, Mjumbe wa Kamati Kuu na Naibu Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa kukiuka taratibu za chama. Browsing All 12768 Browse Latest View Live Page 1 2 3 639
Menu
Blog Archive
-
▼
2022
(725)
-
▼
July 2022
(725)
- Making Out With Mom
- My Sister Eva Started It All
- Mom Takes A Ride
- Great Sex Tips
- Great Sex Guide
- Great Sex Games
- Erotic hot sex This book includes
- Couples Sex Guide Better Sex For You and Your Part...
- Cunnilingus 101
- Cosmo's Sexy Sutra 101 Epic Sex Positions
- Erotic hot sex - 2 books in 1 - Sex positions for ...
- 365 Nights of Passion
- 365 Nights of Passion (2)
- 100 Hot Sex Positions
- 100 Hot Sex Positions (2)
- 08 - 10
- 01 - 3
- 09 - 2
- 09 - 3
- 09 - 4
- 09 - 6
- 09 - 8
- 09 - 10
- Cosmo's Sexy Sutra 101 Epic Sex Positions (2)
- 26:24 NOW PLAYING Logs Delivery | Euro Truck Simul...
- Connoisseur's Sex Guide
- NYUMA NA MBELE
- SEX CHAT
- SEX MACHINE
- SHUSHA NYEGEZI
- STYLE 8 BAO 1
- TARATIBU MPENZI
- TOTO LA KAMBO
- UJI MZITO
- UTANI UTANI MPAKA
- DOGII
- MAMA TOMBATI
- MICHEZO HATARI
- MITEGO YA MZAZI MWENZA
- MKE 1 WAUME 2
- MKE WA KURITHI
- MOTO KWA MPALANGE
- NDEFU NENE
- NIPE KONEKSHENI
- NITAKUPA LAKINI NIMEOLEWA
- KEI YA MCHONGO
- KWA MPALANGE
- KY
- LOVE AND LAW
- MAMA J
- CHIZI MNYONYAJI
- CHUMVINI
- KILELENI
- KITU MNARA
- KITUMBUA CHA LOVENESS
- LIMBWATA
- MALAYA WA BUGURUNI
- MDUDU
- MLEMAVU KADINDA
- MUUZA SUPU
- NIKUNE HAPA
- NILIVYOCHUMA MCHICHA MBELE YA SPONSA
- PAKA WESE
- PAULA MAGLASI
- PROJECT X
- SUUZA RUNGU
- UTAMU WA MECHI KIWANJA
- NAINGIZA KICHWA TU
- 69 XXX
- BABU MKOJOZAJI
- BABY SIO HUKO
- BARA NA PWANI
- DADY NIKOJOLEE
- DILI LA X
- FAKI MI
- G SPOT
- HASIRA ZA MWANAMKE
- INABANA HALAFU TAMU
- JICHO LA NYUMA
- KANIKULA ILA KWA MBINDE
- KATERERO
- SHOSTI TUCHATI
- SHOO YA MSUKUMA
- SEX BEACH
- NIKOJOZE
- NAWASHWA BILA KIKOMO
- MKE WA PILI
- MKE MWENZA
- MDUDU
- MAMA KUBWA
- KULA PUSI
- KOJO LA SHEMEJI
- KINYAMA CHA HAMU
- KICHECHE
- KEI MNATO
- FUNDI CHEREHANI
- CHACHANDU YA MUHOGO
- BAO
- DUDU KOJOLEA
- CHUCHU KONZI
-
▼
July 2022
(725)