Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

UTANI UTANI MPAKA

    

MTUNZI : GEOFREY MALWA




Utani una mipaka yake katika maisha. Mtindo huu wa kuwasiliana baina ya watu, matokeo yake hutegemeana na kiasi cha Utani unaowasilishwa baina ya wanaotaniana.

Ukweli wa hisia za mtu juu yako mara nyingi hujificha katika utani. Mbali na uchangamfu unaoletwa na Utani mahali utumikapo, pia Utani ni kama kifurushi, huja na kitu ambacho ndio kiini cha chombezo hili, kitu hicho ni mazoea.

***
Jina lake aliitwa Tina, mtoto wa pekee katika familia ya mzee Inyasi. Mama yake alishafariki tangu akiwa na umri wa miaka sita, alilelewa na baba pamoja na mama wa kambo tofauti tofauti.

Kwa muda huo Tina alikuwa akiishi na mumewe, tayari walishadumu miaka miwili na miezi mitatu. Mume wake alijulikana kwa jina la Benadi. Wawili hao bado hawakujaaliwa kupata mtoto.

“Halafu ujue wewe mwanamke ni mzuri sana!”
“Mke wa mtu mimi,”
“Najua,”
“Shauri zako!”
“Nakuombea kila siku uachike,”
“Ili uolewe wewe au! Hebu niwekee maembe mazuri,”
“Sio hivyo, ukiachika tu naleta barua ya posa,”
“Thubutuuuu…!”
“Yaani haya maembe ni matamu kama kule,”
“Hebu nifungie niende,”
“Nakupa hili la nyongeza, lina limbwata, ukiwa unakula lazima utanikumbuka,”
“Embe lenyewe sijui lina umbo gani,”
“Basi naliacha,”
“Sawa, liweke acha maringo,”
“Haya. Vipi mbona hunitambulishi mgeni jamani?”
“Wewe weka matunda mengine yatakutokea puani,”
“Sawa Bosi.”
Maongezi hayo yalikuwa kati ya Tina na Muuza matunda sokoni. Wakati akiwa anaondoka sokoni hapo Muuza matunda huyo aliyejulikana kwa jina la Meja eti alianza kusali akimuombea Tina aachwe na mumewe. Sala yake ilikuwa hivi…

“Eh mola,
naomba mwanamke huyu
aachike na mumewe na nakuahidi
nitamfanyia mambo makubwa
na magumu asiyofanyiwa ambayo
hayahitaji jaksi(Hela)
Amina.”

Sala hiyo Meja huisali kiutani ambapo humuacha hoi Tina aliyechukulia kuwa ni namna ya Meja kuvutia wateja wake kwa hayo maneno. Siku hiyo Tina alikwenda sokoni na rafiki yake kipenzi aliyeitwa Shanti.
“Tina, mbona unajiachia hivyo Shooo?”
“Kivipi?”
“Utani na huyu kijana! Sio vizuri,”
“Kwani kibaya kipi?”
“Kwa mfano mumeo angekuwa na wewe, ungeruhusu huo utani?”
“Aah! Ni utani tu,”
“Ungekuwa ni mtoto ningekwambia uwe unafanya vitu ambavyo utavifanya hata mbele ya wazazi wako,




lakini kwasasa naweza kusema ufanye vitu ambavyo hata mumeo akiviona au kusikia havitamkasirisha,”
“Unahisi Meja amepitiliza utani wake?”
“Wewe ndiye uliyemruhusu kwahiyo jitahidi usimpe uhuru, wewe ni mke wa mtu, jilinde,”
“Sawa shooo nimekusikia.”

***
“Ahsante nimeweza kuunganisha, sasa hivi nateleza tu!” Jema alisema hivyo
“Nishukuru fundi wako,” Chuma alijibu
“Toka huko,”
“Nimekusaidia hata kuniambia karibu?”
“Haya njoo tucheze,”
“Kweli?”
“Ndiyo karibu, sijui utapaa?”
“Ukiniruhusu nakuja,”
“Una maneno wewe! Mbona ulivyokuwa hapa kwa bibi yako hukuwa na maneno hivyo?”
“Nilikuwa nakuogopa,”
“Haya njoo,”
“Ujue acha utani najiandaa nakuja,”
“Sawa. Karibu sana.”
Maongezi hayo kati ya hao wawili yaliishia hapo ambapo Chuma mwili wake wote ulisisimka. Umbali ulimfanya Jema kumletea utani Chuma, kwa umbali waliokuwepo ili Chuma amfikie Jema ilimlazimu kupanda basi na kutumia masaa matano njiani.
“Hivi ni nani unammkaribisha hivyo?” alihoji Subira, rafiki wa Jema
“Jamaa mmoja hivi, huyo bibi mwenye maneno mengi anayeishi hapo nyumba ya jirani ndiyo bibi yake,”
“Huyu aliyekuwa anasema mimi ni mzuri?”
“Ndiyo,”
“Umemkaribisha kwavile unajua ni mbali eh?”
“Labda awe mjinga ndio atakuja,”
“Hivi muda ndio umeenda hivyo?”
“Hamna bwana, tucheze, unakimbia kwasababu nakupiga eeh?”
“Ndoa mama! Nisije nikaachwa mie kisa ‘Gemu’ la ngumi.”
Subira alikuja kumtembelea Jema, baada ya kuona giza linazidi kutawala angani aliaga,
“Lini utakuja tena jamani?”
“Usijali, ila shoga yangu hilo umbo! Kila siku nalitamani, na unavyojiachia sasa!”
“Sasa niko mwenyewe tu, nijibane kwanini?”
“Sawa, jioni njema…”
“Na kwako pia.”
Muda huo yalikuwa ni majira ya saa kumi na mbili na dakika arobaini.

BAADA YA MASAA KADHAA

“Umepika nini?” Chuma alimtumia Jema ujumbe huo mfupi
“Wali na nyama, karibu,”
“Sahani yangu ipo, nipo njiani,”
“Haya mchawi,”
“Nakuja kweli,”
“Sijabisha, karibu.”
Chuma alisafiri jioni hiyo na kufika mtaa aliokuwa akiishi Jema usiku sana pia huo ulikuwa ni mtaa wake, akafikia kwa Jongo, rafiki yake aliyekuwa akiishi geto,
“Ama kweli wanaume wote tutakwenda motoni, yaani kei unaisafiria mbali hivyo?”
“Acha tu!”


“Sasa! Ukikuta yeye anachukulia utani? Au ndio paap! Ukamkuta mume wake itakuwaje, maana yeye kakwambia hivyo akijua hutafika, hebu jitulize acha tama japo ule mzigo ni noma aisee!”
“Ni kwere, nauachaje sasa! Mimi najilipua,”
“Saa saba kasoro hii,”
“Ona, huyu hapa kanitumia ujumbe, ananiambia eti nimepita kambi ya wachungaji ungo wangu ukadondoka! Ananisubiria kweli,”
“Hebu chukua kinga hizi,”
“Tatu? Yaani mtoto mzuri Yule niende mara tatu tu? Nipe mkanda wote,”
“Kuwa makini na utumie kinga,”
“Usijali, acha niende.”
Chuma alipiga ishara ya msalaba kasha akaanza safari ya kwenda nyumbani kwa Jema, kabla hajaufikia mlango wa nyumba anayoishi Jema, alikagua mazingira kwanza,
“Nimefika njoo nifungulie,” Chuma aliutuma ujumbe huo
“Sawa, nakuja.”
Zikapita dakika tano bila mlango kufunguliwa wala dalili ya mtu kutoka
“Nimefika mlangoni haupo!”
“Acha utani napigwa na baridi ujue!”
“Nimeenda haupo, usintanie, hebu bisha hodi…”
“Ngo…ngo…ngo!”
Hodi ilimshtua Jema aliyeanza kuweka umakini kwenye hiyo hodi.
.
.

Kwa hatua za taratibu aliusogelea mlango, mtoto wa kike akiwa ndani ya mavazi ya kulalia, suruali ya rangi ya maziwa iliyoendana rangi na shati lake. Alikuwa akitikisika hasa, naomba unielewe, hakuwa mnene wala mwembamba lakini alikuwa na sehemu nene na nyembembe vilevile, kiunoni, mdudu ambaye alifaa kufananishwa naye ni nyigu, namba nane, iliundwa vyema na hipsi pamoja na makalio yake yaliyojaa vyema, hakika macho ya mwanaume yeyote yakiona hayawezi kuacha kushawishi ubongo uuambie mdomo umeze mate pia lile joka litoke pangoni.
“Ina maana Chuma amekuja kweli?” alijisemea Jema moyoni baada ya kuchungulia dirishani na kumuona
“Sasa itakuwaje, nifungie mlango na mume wangu hayupo?”
“Lakini Jema wewe ni mwanamke shujaa, unaogopa nini kumfungulia kijana mdogo kama Chuma?”
“Lakini vipi kama watu watamuona atakavyokuwa akiingia hapa? Mume wangu akijua itakuwaje? Mwanajeshi Yule si ataniua na alivyo na wivu!” mawazo yote hayo yalizunguka kichwani mwa Jema kwa muundo wa maswali yaliyopatiwa majibu yenye ulakini.

Jema akiwa hapo mlangoni akiendelea kubishana na moyo wake juu ya kuufungua huo mlango, simu yake iliita, mlio wa simu ukasikika, hiyo ilimaanisha Chuma alisikia vyema kuwa Jem alikuwa mlangoni hapo,
“Hello baba!”
“Usijali, niko mwenyewe bwana, nitakuwa na nani?”
“Mtu mlangoni?”
“Hebu acha wivu wako, tunda ni lako mwenyewe, nimekumisi sana,”
“Ooh, kumbe ulikuwa hujasafiri, usiku huu ndio unaondoka?”
“Mume wangu usijali kwa hilo, nitakutunzia, wewe ndio kila kitu kwangu.”
Alipomaliza kuongea na simu, Jema hakuwa na namna maana simu ilimuumbua, mpango wake wa kukaa kimya uligonga mwamba,
“Jema nimekuja kweli, nifungulie mlango,”
“USiku sana lakini muda huu,”
“Najua ila kuna tatizo gani?”
“Hebu acha masihara, kalale kwa bibi halafu asubuhi utakuja,”
“Bibi hajui kama nimekuja.”
Mabishano yaliendelea ambayo yalidumu kwa muda wa saa nzima na nusu, hiyo ilikuwa ni kufungua tu mlango. Yaani Chuma Wakati mabishano hayo yanaendelea ambayo hayakuwa ya shari, kitendo cha kusikia tu sauti, tayari joka kichwa wazi lilishaanza kugombana na nguo ya ndani. Utafikiri lilikuwa likicheza mieleka.
“Huondoki tu! Saa nane hii!”
.



“Nitakaa hapa mpaka asubuhi, njaa inauma jamani nitakufa mimi…”
“Kufa!”
Utani ukaanza tena, Jema kwa kumchelewesha Chuma malengo yake yalikuwa ni kumkatisha tamaa Chuma lakini hakufanikiwa. Ule mlio wa kitasa uliposikika tu, mwili wa Chuma wote ulisisimka, ni funguo ilizungushwa ilimaanisha mlango umefunguliwa. Chuma alisubiri kitasa kizungushwe ili mlango uvutwe kwa ndani aingie lakini haikuwa hivyo,
“Ukitaka, endelea kukaa hapo hapo nje,” sauti nyororo ya Jema ilisikika hivyo
Moyo wa Chuma ulipasuka pah! Maana alijua amesharuhusiwa na Jema. Mwanaume mpaka ndani akawasili, alipoingia tu akafunga mlango na funguo,
“Wezi wasije wakatuibia, na wanoko hatutaki kabisa!” alisema hivyo Chuma akiwa anafunga mlango pia alielekea dirishani na kujifanya analifunika vizuri pazia, Jema alibaki akicheka tu.
“Jamani Jema, hata kunikumbatia?” Alisema Chuma
“Hebu toka huko! Halafu unite dada,” alijibu Jema akiwa ameketi kwenye kochi
Jema alijijua jinsi alivyobarikiwa na Mungu mpaka kuishika akili ya mjeda, hivyo alijisitiri kwa kuvaa khanga aliyojifunga kupitia kiunoni.
Chuma alijitoa ufahamu ambapo alimkimbilia na kumkumbatia, Jema hakujipanga, alishtukizwa tu, alibaki akiwa kama anamsukuma.
“Njaa inauma sana jamani,”
“Na hamna chakula,” walijibizana hivyo ambapo Chuma aliketi kwenye lingine,
“Lakini hamna shida, kuna watu duniani ukiwaona tu njaa inaisha,”
“Hivi kumbe ndio una maneno hivyo?”
“Hata wewe sikudhani kama unaongea, maana huu mtaa wote wanakuogopa mke wa mjeda na ulivyo mzuri sasa!”
“Hebu acha kunipamba,”
“Sasa nimefika, leo tutacheza gemu mpaka useme poo,”
“Yaani una mpango wa kukaa hapa masaa mengi? Huwezi kuwa unamaanisha bwana!”
“Sasa nitaenda wapi, nimesafiri kwa ajili ya kuja kucheza gemu,”
“Mimi nilikuwa nakutania tu, Yaani Chuma una akili za ajabu kweli.”
Basi Jema hakuwa na namna, alikwenda jikoni akampakulia chakula, wakahamia mezani, Jema alikuwa akimwangalia Chuma bila kumpatia majibu. Macho ya Chuma yalikuwa kifuani mwa Jema, mtoto kifua chake kilikasirika na kusimamisha chuchu kiasi kwamba unaweza ukasema utundike shati.
“Mjeda anafaidi sana, Yaani misosi mizuri ya jikoni, bado msosi mwingine unaotembea unamsubiri,”


kwa maneno hayo Jema alibaki akicheka tu.
Chuma aliwasili na begi dogo ambalo lilikuwa na vitu viwili tu laptop(Kompyuta mpakato) ambayo aliazima na ‘Padi’ za kuchezea gemu.

Alipomaliza kula Chuma alishukuru na kusifia chakula utadhani kilipikwa kwenye hoteli yenye hadhi ya nyota tano. Hata kama angetafuna mawe kwenye chakula, kwa hali aliyojihisi angesifia tu kuwa anapenda chakula chenye mawe kidogo.
“Samahani dada Jema, naomba nikaoge ili nipate nguvu,”
“Sawa, ngoja nikakuwekee maji.”
Mtoto wa kike aliponyanyuka na kwenda kumuwekea maji, Macho ya Chuma yalikuwa yakitazama nyuma jinsi palivyokuwa pakipigana vikumbo, yaani ugomvi wa mke mwenza ulihamia nyuma kwa Jema.
“Leo nikikuacha hata Mungu mwenyewe atanilaumu siku ya mwisho, ataniuliza kijana vipi! Mbona nilikupa pasi ya upendeleo na ukashinda kugusa n akichwa tu iende kambani?” aliwaza hivyo Chuma huku akishika joka kichwa wazi lake lililokuwa limeshaanza kumuuma misuli maana alilibana na nguo ya ndani.
“Lakini subiri kwanza, hivi atakayeniuliza hivyo atakuwa ni Mungu au shetani! Eh kwakweli ni shetani ndio ataniuliza hivyo, nimshaanza kuchanganya mafaili sasa!”
Chuma aliwekewa maji, akaoga vyema ambapo huko bafuni ni mawazo machafu tu ndio yalimtawala.
“Ngo! Ngo!” hodi ilibishwa akiwa chumbani
“Nani tafadhari? Ni mjeda au mke wake mzuri!” kwa kuongea hivyo Jema alibaki akicheka tu maana alijua Chuma anafanya makusudi
“Utavaa hizi, sijui kama zitakutosha…”
“Sawa. Ahsante sana.”
Basi baada ya mlango kufunguliwa Jema alimkabidhi Chuma mavazi ya traki zilizofanana juu na chini, rangi ya kijivu.
Chuma alipozivaa zilimpendeza mno, uvumilivu ulimshinda Jema ikabidi amsifie tu japo katika hali ya utani.
Basi walianza kucheza gemu ambapo kabla hawajaanza walikuwa wakitambiana hasa, gemu pekee ambalo Jema aliliweza ni la mbio za magari. Basi mchezo ukaanza, waliketi chini kwenye zuria kisha wakaegemea kochi, hawakuwa mbalimbali sana,
“Tulia nakupita sasahivi,” alisema Chuma
“Huwezi, jamani jamani kimbia…” Jema mizuka ya gemu ilimkolea.
Chuma akili yake yote ilikuwa kwenye mwili wa Jema, vile alivyokuwa akitikisika na kile kifua chake chuchu nazo zilikuwa zikipanda juu na kushuka.
.

Kama ujuavyo mwili wa mwanaume ulivyo usivyochelewa kujaa chaji, na joka kichwa wazi asivyosikia, alitokeza nje ya nguo ya ndani kisha akajilaza kwenye paja, ile traki aliyoivaa ingefanya nini zaidi ya kulichora umbo lake! Yaani joka lilionekana laivu kabisa.

Mara ikaanza michezo ya kuvurugana ili mradi mmoja akosee ili mwenzake ampite. Na hapo ndipo chokochoko zile za kumchokoza joka zilipoanzia. Kila mmoja alitumia mbinu ya kujipeleka mbele ya mwenzie maana mikono yao ilikuwa imeshika ‘Padi’ sasa mara paap ile Jema anajipeleka mbele, kiwiko chake kikagusa mtuno wa joka la Chuma. Alishtuka mpaka akaachia ‘Padi’ ikadondoka chini.
“Nilikwambia nitakufunga! Si unaona! Mpaka umetupa padi mwenyewe…” Chuma alisema hivyo kwa makusudi, hakutaka kumjulisha Jema kuwa alijua alichoguswa, alipotezea kabisa huku akimsoma Jema atakuwaje baada ya hapo. Kitendo cha Jema kutokuwa na wazo lolote juu ya akifikiriacho Chuma ndicho kilimponza.

Alibadilika na akawa analiangalia joka la Chuma kwa kuibia huku akionekana kama akilitafakari hivi, kuna muda alicheka kabisa, vyote hivyo Chuma alimsoma, kwavile alikuwa ameshakula yamini kuwa lazima jambo lake litimie, hakuwa na presha.
“Mimi nahisi usingizi, naenda kulala,” alisema Jema baada ya kucheza sana gemu
“Aaah…jamani mbona mapema hivyo…”
“Kesho bwana, hakikisha unaondoka mapema kabla hakujakucha, sawa?”
“Kama mimi sina usingizi na wewe hakuna kwenda kulala.” Aliposema hivyo Chuma aling’ang’ania mkono wa Jema,
“Niachie bwana…”
“Tukae wote, unaniachaje mwenyewe…”
Wakaanza kubishana, vuta nikuvute, wakasimama kabisa, ‘padi’ zikawekwa pembeni, Chuma badala amzuie kwa kumvuta mkono ikawa ni kwa kumvuta kiuno, ile khanga ikadondoka akabaki na suruali ya kulalia pekee iliyofyata kwenye msamba wake, masikini wa Mungu ndani Jema hakuvaa chochote cha kuficha kipochi manyonya kisichokuwa na zipu.
"Chuma kwani unataka nini?"
"Tukae wote,"
"Haya niachie sasa."
Basi Chuma alimwachia huku akishindwa tena kuficha mtuno wa joka lake, lilijitokeza laivu. Basi Jema alitembea kwa mwendo wa haraka akielekea chumbani, nyuma ilikuwa ni mwantika mwantuku, mwantika mwantukuku.
"Nyoo unajifanya mwanaume!"
.
.
.
Aliitoa hiyo kauli Jema akiwa amekaribia kufika karibu na mlango wa chumbani kwake, alichotegemea ni kwamba atawahi kuingia ndani na kuufunga mlango kama Chuma akijibu mapigo.

E bwana eh! Kama alivyowaza ndivyo ilivyotokea. Chuma baada ya kusikia hivyo alianza kumfukuza Jema aliyewahi kukimbilia ndani, ila kwa bahati nzuri au mbaya alichelewa kufunga na funguo pale kwenye kitasa. Chuma aliuwahi na wakaanza kupimana nguvu,
“Chuma sitaki..!”
“Hata mimi sitaki pia,”
“Sasa unasukuma ili iweje kama hutaki?”
“Mbuu! Angalia usije ukajamba,”
Chuma akaanza kumuongelesha maneno fulani ya kumchekesha, mwishowe nguvu zikamshinda Jema na kujikuta akimruhusu Chuma kuingia ndani.

Jema alipotaka kutoka amwache Chuma peke yake ndani alizuiwa na mkono wa Chuma kupitia tumboni kwake.
“Umetaka kuingia humu nakuachia chumba sasa!”
“Uniachie ili uende wapi jamani?”
Chuma alipomrudisha ndani Jema alifunga mlango na funguo akaishikilia mkononi.
“Khe! Hii nguo ya ndani ya mjeda nini?” Chuma alihoji akiisogelea kwenye kabati la nguo
“Hayakuhusu, sijui hata unafanya nini humu, unajua unanivunjia heshima?”
“Hapana, wewe ndio umenivunjia heshima,”
“Unaingia chumbani kwangu bila ruhusa Halafu mimi ndio nimekuvunjia heshima! Unajisikiliza kweli wewe?”
“Najisikiliza na ninakusikiliza pia, ulinitunikana Nyoo, sio wewe? Ukaniambia najifanya mwanaume sio wewe? Hujanivunjia heshima?”
“Lakini…”
“Hakuna cha lakini…”
“Sasa unataka nini?”
“Enhee! Hapo kwenye ninachokitaka, nibusu kisha niondoke chumbani kwako,”
“Una kichaa cha bibi yako wewe,”
“Usiongee kwa sauti kubwa atakusikia,”
“Acha asikie ajua ana mjukuu kichaa,”
“Kwahiyo hutaki?”
“Hivi Chuma unajua kuwa mimi ni mke wa mtu?”
“Najua, na ndio maana niko hapa,”
“Nitapiga kelele majirani waje,”
“Nikusaidie?”
“Hivi Chuma una nini lakini?”
“Nina…” aliishia hapo Chuma bila ya kumalizia sentensi yake
Chuma alimfuata Jema taratibu, Jema alikuwa akirudi nyuma muda huo,
“Chuma, hebu toka.” Alisema hivyo Jema huku akimsukuma,
Chuma aliuchukua mkono wa Jema kisha akaupeleka kwenye joka lake lililokuwa limevimba bado, alimshikisha kwa kumlazimisha ambapo Jema aliutoa na kuendelea kujihami. Chuma alimfuata Jema aliyekuwa akirudi nyuma



mpaka ukutani, fata nifate mpaka kwenye kona mtoto wa kike alinasa mwenyewe. Mwanaume kwenye kona huwa kama mamba kwenye maji, utamwambia nini mshambuliaji aliyeachwa na goli peke yake? Eti asifunge?

“Chuma unachotaka hakiwezekani, tambua mimi ni mke wa mtu,” alijitetea Jema
“Jamani, Kwani umejua mimi nataka nini?”
“Tafadhari, namheshimu sana mume wangu,”
“Sikia Jema, nimetoka mbali kuja kwa ajili yako,”
“Kwahiyo ulikuja kwa ajili ya kunifanyia unachotaka?”
“Ndio, wewe ni mwanamke mzuri sana, unashawishi….”
Akiwa kwenye kona aliambiwa hivyo Jema huku mikono ikiwa kiunoni mwake naye akihangaika kuitoa kwa nguvu.

Ulikuwa ni mchezo wa kutumia nguvu, gusa nitoe, vuta nikatae, macho ya Jema tayari yalishaanza kubadilika, uso wake pia maana alishanusa harufu ya kupekenywa kipochi chake kilichokuwa hakina zipu.
“Kwani mumeo atajuaje? Utamwambia?”
“Nimekula kiapo kanisani kuwa sitamsaliti,”
“Mbona muda ule ulikuwa unaliangalia joka langu lilivyokuwa limedinda?”
“Wapi! Mimi! Umechanganyikiwa,”
“Vipi! Umelipenda?”
“Hebu toka huko! Najuta kukufungulia mlango,”
“Ukiniruhusu hutojuta kabisa,”
“Unaongea ujinga gani wewe?”
Chuma ni kama alikuwa akimlegezea, akaaza kukaza mikono yake, yote miwili ikakamata pindo la ile suruali ya kulalia, aliikaza na kuivutia chini ambapo ilishuka kidogo na kumwacha makalio wazi lakini aliing’ang’ania kwa mbele. Kurupushani zikazidi, mkono wa Chuma ukawa unatafuta njia ya kuelekea kwenye kipochi manyonya, vidole vyake vilikuwa vikinyambuanyambua kwenye ile sehemu yenye manyonya chini ya kibofu cha mkojo.

Jema alibana mapaja yake ili kutoruhusu mkono wa Chuma kupenya na kufanikisha jambo lake. Mikono ya Chuma ilichangamka hasa, mwingine ukapitia kwa nyuma na kupekenya msamba, mbele alitanguliza kidole kabisa, kidole kile cha shughuli, Jema hakujua abane kwa mbele au kwa nyuma maana mbele kilikuja hali kadhalika na nyuma pia,
“Chuma niachie!” kwa sauti ya kuvuta maneno huku akihema alisema hivyo
Chuma hakuongea chochote zaidi ya kuonyesha vitendo. Nguvu na akili ya kupekenyua ndivyo alivyoviamini. Aliona ile suruali ya kulalia inamzibia riziki akaishika kwa nguvu zote kisha akairarua, ilichanika kutokea nyuma
.
.
.MWISHO





Blog