Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

PAKA WESE

 


MTUNZI : GEOFREY MALWA


“Kama kawaida yao,” alisema Edina
“Kazi yetu chabo tu,” alijibu Frida aliyevua viatu na kuanza kunyata kuelekea chumba walichoingia Makrina na Gambino
“Ukipiga chabo unapata faida gani?”
“Kuna faida basi zaidi ya ushambenga tu!”
“Shauri yako.”
Maongezi hayo yalifanyika kwa sauti ya chini hasa, muda huo walikuwa sebuleni, kelele zilizokuwa zikitoka chumbani kwa Makrina hazikuweza kuzuilika kusikika. Makrina alinyanduliwa barabara, hilo lilidhihirika kupitia muitikio wake.
Frida alisogelea mpaka kwenye mlango wa chumba hicho ambao ulikuwa wazi kidogo, uwazi uliomwezesha kuona kilichokuwa kikiendelea ndani, Kumbe shoo haikuwa imeanza, Frida alirejea sebuleni na kumshika mkono Edina ili wakapige chabo wote,
“Mimi sitaki huo mchezo,” Edina aligoma huku akisema hivyo
“Wewe si ulikuwa unanisumbua kuhusu mwanaume kuzama chumvini!”
“Hata kama…” Basi Frida alimkokota Edina mpaka mlangoni kwa Makrina.
Edina alishuhudia jinsi Makrina alivyowekwa utadhani kuku wa kizungu aliyepasuliwa katikati na kutaka kubanikwa. Gambino alinyonya kapuchi ambapo ile kelele ya kunyonya ilisikika na ndio iliyowapa shida zaidi Frida na Edina waliokuwa makini utadhani wanatazama video ya Pilau, mpaka Makrina mwenyewe alipodai ameshakuwa tayari hivyo badala ya ulimi, Gambino atumie dude lake.
“Dude nene vile! Linapita wapi?” Edina alihoji hivyo, hakuwahi kuona dude la mwanaume ‘laivu’
Ndio tamu, sema lilitakiwa liwe refu kidogo,” alijibu Frida, waliongea hivyo kwa sauti ya chini sana


“Jiandaeni, leo shemeji yenu anakuja,”
“Mimi sio mtu wa klabu, siendi,”
“Acha ushamba, unadhani sisi tunaoenda klabu ni Malaya au?”
“Sio hivyo dada Makrina,”
“Haya jiandae usinichefue,”
Maongezi hayo yalikuwa kati ya wasichana warembo, ninaposema warembo unielewe vizuri, ni warembo kwelikweli. Walikuwa watatu, Makrina aliyewaambia wenzake wajiandae, Edina aliyekuwa akidai yeye sio mtu wa klabu na Frida ambaye hakuongea chochote zaidi ya kufurahi tu.
Wasichana hao warembo wote walikuwa wakisoma chuo kikuu. Makrina na Frida walikuwa mwaka wa tatu huku Edina akiwa ndio mwaka wa kwanza. Chuo ndio ilikuwa sababu kubwa iliyowaunganisha, hawakuwa ndugu wa damu.
Huyo mwanaume aliyetarajiwa kuja kuwachukua aliitwa Gambino, ndiye aliyekuwa mpenzi wa Makrina. Basi watoto hao warembo walivalia kimtoko zaidi, kwa sehemu waliyotarajia kwenda, ukiwaona ungeweza kusema ni wadada wadangaji.
Gambino alikuja na gari yake ya kifahari aina ya ‘Rangerover’ akampigia simu mpenzi wake kisha wakatoka na kuondoka kuelekea klabu.
Gambino alikuwa ni kijana mtanashati tajiri, alivutia kwa mwonekano, ukichanganya na pesa ndio kabisa. Suala la kwenda klabu haikuwa mara ya kwanza kwao. Sehemu ambayo walipenda sana kuitembelea mara nyingi ni ufukweni, tena zile fukwe za kitajiri. Edina hakuzoea kabisa hayo mambo ya starehe na hakuna aliyekuwa hajui kuwa bado hajatolewa usichana wake.
Hiyo siku waliyokwenda klabu, walirudi nyumbani majira ya saa nane usiku, tayari Makrina na Gambino walishaanza kuweka hisia zao hadharani, walibusiana na kushikanashikana mbele ya Frida na Edina, moja kwa moja walikokotana mpaka chumbani, Frida na Edina wakawa ni mashuhuda wa kile kilichokuwa kikiendelea,



Kifo cha mende ndio ulikuwa mtindo walioutumia, Gambino alianza kumsugua Makrina taratibu kwa hisia ambapo Makrina alionekana kuchanganyikiwa sana, Frida na Edina walishuhudia rafiki yao akifikishwa kileleni kwenye dakika za mwanzoni tu. Gambino naye hakuchukua muda akamwaga rojo lake ambapo alimng’ang’ania kweli Makrina,
“Pole baba, pole,” Makrina alisikiak akisema hivyo
“Ahsante mtamu wangu.” Alijibu Gambino huku wote wakicheka kwa pamoja.
Edina na Frida waliondoka na kuelekea chumbani kwao. Huko Edina akaanza usumbufu wake wa maswali,
“Kwahiyo mtu anazama chumvini na haoni kinyaa?”
“Inatakiwa muaminiane na usafi uzingatiwe,”
“Hata kama, na pale alipokuwa akipiga kelele ndio nini?”
“Ndio utamu wenyewe, hakuna kitu kitamu kama dude duniani,”
“Mbona wewe unambania sana shemeji yangu Jafeti?”
“Sina hisia naye kwahiyo sijawahi kufurahia tendo na yeye,”
“Kama hujawahi kufurahia, umejuaje kama ni tamu?”
“Nilimpata kidume nilipokuwa kidato cha sita, alikuwa ananiosha vizuri sana kitandani,”
“Mmh! Hata kama ni tamu, mimi nitamsubiri mume wangu.”
“Sali sana Mungu akuepushe na wanaume waongo, unaweza ukampata akakuahidi atakuoa Kumbe lengo lake kukuchezea,”
“Sawa dada yangu.”

Walipomaliza maongezi yao, Makrina aliwafuata chumbani na kuwapa Taarifa kuwa shemeji yao Gambino atatumia usiku huo mzima kuwa hapo hivyo aliwahitaji wawe na nidhamu, wasiwashe muziki mkubwa wala wasijiachie kama walivyozoea.
Warembo hao watatu walikuwa na msululu wa wanaume waliohitaji mapenzi yao. Walivutia sana, isingekuwa Gambino kuwa na pesa nyingi na kufahamiana na maprofesa chuoni, basi wangeshazewa michezo michafu na maprofesa kwenye habari ya mitihani.
Yalipofika majira ya asubuhi, Gambino na Makrina waliamshana kwa kuwachezesha kwata dude na kapuchi mpaka wakaridhika. Wakati akiwa anajiandaa Gambino wakawa wanaongea,
“Siku gani utakuwa huru?” Gambino alihoji
“Sijajua, una mpango gani mume wangu si unajua ninaweza kufanya jambo lolote kwa ajili yako!” alijibu Makrina akiwa ndani ya nguo nyepesi ya ndani pekee
“Nimefurahi kusikia hivyo, aah…nahitaji twende mahali kwa kutumia boti ya baba,”
“Ndani ya boti ya baba sisi wenyewe?”
“Hapana, tunaenda na marafiki zako,”
“Lini sasa?”
“Wiki ijayo siku ya ijumaa, nitakuja kuwachukua saa kumi na mbili jioni.”
Makrina alifurahi sana, alinyanyuka akiwa ndani ya nguo ya ndani kisha akamkumbatia Gambino wake aliyepata nafasi nzuri ya kuyashika makalio yake yaliyotepeteshwa na shoo ya usiku.
Gambino alihudumiwa vizuri asubuhi hiyo mpaka ulipowadia muda akaondoka. Punde tu baada ya kuondoka, Makrin alikimbilia chumbani kwa kina Frida na Edina, aliwakuta wakiwa wamelala, akajitupa katikati



yao na kuwaamsha. Yalikuwa ni majira ya saa nne asubuhi, mpaka ufahamu uwarudie vizuri walichukua kama dakika tatu hivi, si unajua balaa la usingizi,
“Asubuhi asubuhi nini! Umemwacha mwenzako na nani?” Frida alihoji
“Shemeji yenu ameshaondoka kitambo,”
“Dada Makrina! Usingizi mtamu bwana,”
“Najua, ila nina habari nzuri jamani…” Makrina Aliposema hivyo, wenzake wakatega masikio vyema ili wamsikie. Akawaeleza lile jambo la wiki ijayo la kusafiri kwa kutumia boti,
“Sawa, tutakuwa tunaenda wapi?” Edina alihoji
“Sijajua, itakuwa ‘Sapraizi’ labda!”
“Dada Makrina! Tangu umjue huyu shemeji yetu, mna muda gani?”
“Jamani, wiki tatu,”
“Unaona zinatosha kabisa kumpa uhuru huo ambao umempa? Au ni kwasababu ametusaidia vitu vingi basi unaona kumkubalia kila jambo ndio njia nzuri ya kumlipa?”
“Hivi Edina huwa unawaza nini wewe!” Frida aliingilia kati
“Sio hivyo Edina, nampenda,”
“Sijakataa, unajua kazi yake?”
“Bado hatujaongelea sana hayo mambo ila ninachojua kwao ni matajiri,”
“Unaona! Hujamjua bado, haya, vipi tukienda kubakwa huko!”
“Ubakwe? Aisee Makrina mdogo wako inabidi umtafutie bwana huyu, anakuwa muoga sana,” Frida alichangia kwa kusema hivyo
“Sio uwoga, mimi nawapenda wote dada zangu na inabidi tufikirie haya mambo, sijui Kwanini hamuoni kama Gambino ana kasi sana kwa Makrina,”
“Ni kweli mdogo wangu, najua unanipenda sana, unatupenda wote, ila naomba nikuhakikishie, siwezi kukupeleka mahali ambapo sio salama, sawa mdogo wangu! Na kuhusu kufanya mambo kwa kasi, huo ndio upendo wa kweli, sijampendea pesa, nimempenda yeye mwenyewe, ukipenda utanielewa zaidi.”
Kwa shingo upande Edina alielewa na maongezi yaliishia hapo, wakaanza ukichaa wao mwingine kabisa, walimtania Makrina awasimulie jinsi alivyonyanduliwa, hawakumuweka wazi kwamba walimpiga chabo.

BAADA YA SIKU CHACHE

Ile siku iliwadia, Frida na Makrina walikuwa na furaha sana lakini Edina alikosa furaha kabisa. Walitumia gari ya Gambino mpaka kulifikia boti. Yalikuwa ni majira ya saa moja kasoro dakika kumi na tano. Giza la usoni lilishaanza kuonekana.
Walipoingia ndani ya boti waliwakuta

MWISHO


Blog