Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

TARATIBU MPENZI

    

MTUNZI : GEOFREY MALWA



Ilikuwa ni tafrija ya Suzan mtoto pekee wa Bwana George Suleman aliyehitimu masomo yake ya shashada ya Sheria,hivyo wakiwa kama familia yeye na mkewe waliamua kumfanyia tafrija ndogo hapo nyumbani kwao,ili kupendezesha Tafrija hiyo Bwana George Suleman aliwaalika ndugu na jamaa zake wa karibu ambao kwa heshima na taadhima walihudhuria wote bila kukosa

Kama unavyojua Tafrija za matajiri,vinywaji vilikuwa vya kutosha na vyakula vya kusaza vilivyokuwa mara mbili ya idadi ya watu waliohudhuria,kati kati ya Tafrija Bwana George alisimama na kuongea maneno machache ya heshima akiwashukuru wote waliohudhuria kisha alipomaliza kuongea alimkaribisha mwanaye kipenzi Suzan ambaye naye aliongea maneno machache yaliyowakilisha furaha yake kubwa ya moyoni

Nelson ni kijana mmoja wapo aliyepata kuhudhuria kwenye Tafrija hiyo ambapo ukimlinganisha na watu wengine waliohudhuria hapo naweza kusema yeye ndiye alikuwa wa pili kwa udogo huku mdogo kabisa kuliko wote akiwa Suzan binti anayefanyiwa tafrija

Ikafikia wakati wa kucheza mziki ambapo uliwekwa mziki wa taratibu uliokwenda kwa jina la All of me ulioimbwa na John Legend,kutakana mandhari ya mziki huu haikutakiwa kucheza mpaka kutoka jasho,basi kila aliyehudhuria Tafrija hiyo aliingia kati na mke au mpenzi wake na kuanza kucheza naye kimahaba kwa mtindo wa kukumbatiana

Kitendo cha kila mmoja kuinuka na kuingia kati na mtu wake kilimfanya Nelson kubaki yeye mwenyewe kwenye kiti asiwe na mtu wa kucheza naye,lakini alipoyatupa macho yake mbele kwenye meza kuu alimwona Suzan naye akiwa amekaa peke yake huku akitabasamu pale aliwaona wazazi wake wakiwa wamekumbatiana wanacheza kimahaba

Nelson aliamua kujivika ujasiri na kwenda mpaka kwenye meza kuu kwa Suzan ambapo muda huo watu wote walikuwa makini na kucheza mziki

Mmh,hello beautiful Suzan!,kwa mbwembwe aliongea hivyo Nelson huku mikono yake akiifikicha kama mtu anayesikia baridi

Mambo?,,mbona hujaenda kucheza jamani?,,aliuliza Suzan swali ambalo hakulitarajia Nelson

Tatizo niko peke yangu,laiti kana ningempata mrembo kama wewe,hata bila mziki ningecheza naye,,

Ha ha ha!,alicheka Suzan kutokana na maneno ya Nelson,,umesema hata bila mziki?



Ndiyo,kwasababu yeye atakuwa ni mziki tosha

Sawa,,aya twende

Suzan aliinuka pale alipokaa na kumpa nafasi Nelson ya kulishuhudia wowowo lake lililokuwa ndani ya gauni lilimbana maeneo ya Hipsi,wakashikana mikono na kuelekea kati kucheza mziki,ili kutengeneza heshima ilibidi waende kuchezea mbali kidogo mbali kidogo na wazazi wake Suzan,,

Kama unavyojua aina ya mziki uliokuwa unapigwa ni wa taratibu wakaanza kucheza huku wakiwa wameshikana mikono,kila mmoja akiwa anaogopa kumsogelea mwenziye karibu,,,,,jamani uko mbali lakini,,,,aliongea hivyo Nelson huku akiwa amemkazia macho Suzan aliyekuwa anaona aibu hata kumjibu

Basi Nelson akamsogelea Suzan na kumshika kiuno kwa mikono yake yote miwili ambapo naye Suzan alijibu mapigo kwa kuipeleka mikono yake kwenye shingo ya Nelson,wakawa wamesogeleana karibu kabisa kiasi ambacho miili yao iligusana,ikawa nafasi nzuri kwa mikono ya Nelson iliyokuwa haitulii kwenye kiuno matata cha binti mrembo Suzan,,

Mmh,una kiuno kizuri sana Suzan,,ni maneno ya kichokozi alioyaongea Nelson

Ahsante,,,aliongea hivyo Suzan huku asiweze kumtazama usoni Nelson,zaidi alionekana kama anatabasamu huku akiangalia chini

Maongezi hayo yaliendelea huku wakiwa wamesogeleana kabisa ambapo walionekana kama watu waliokumbatiana,mikono ya Nelson ilianza kutembea kwenye kiuno laini cha Suzan kilichojitenga vizuri na hipsi pamoja na makalio yake,akawa anamshika kiuno kwa kumminyaminya ambapo alimwona Suzan akitulia kimya kama maji ya mtungini,aliendelea kuishusha mikono yake mpaka kwenye mtuno wa makalio yake na kuanza kumshikashika huku akifanya kama anamkandamizia kwenye mwili wake,Suzan alijikuta anamsogelea zaidi Nelson mpaka chuchu zake zilizokuwa ndani ya kitambaa laini cha gauni zikawa zinamgusa kifuani

Uwoga ukaanza kumwondoka Nelson baada ya kumwona Suzan ametulia kimya asimkataze wala kumfokea,mikono yake iliendelea kuyaminyaminya makalio ya Suzan ambapo kwa kutumia vidole vyake makini alianza kufanya kama anamkuna makalio Suzan hali iliyomsisimua Suzan ambapo alipohema kwa kasi,hewa iligonga kifuani kwa Nelson,mwanga hafifu wa eneo hilo ulimpa ujasiri Nelson kufanya vingi kwenye mwili wa Suzan,,,

...


Ikafika muda Suzan akawa amekilaza kichwa chake kwenye kifua kipana kilichojengeka kimazoezi cha Nelson,basi hakufanya ajizi Nelson ambaye alimwinua kichwa Suzan na kushuhudia macho yake yakiwa yamebadilika na kuwa mekundu kwa mbali,alijiamini na kuomba denda ambapo Suzan alitulia kimya bila kuonyesha kama amekubali au la!,basi Nelson akajitosa na kuanza kuupeleka mdomo wake ambapo alipokuwa anaukaribia alimwona Suzan akifumba macho na kuzipanua lipsi zake nene zilizoupamba mdomo wake tayari kwa kuupokea ulimi wa Nelson,basi wakakutanisha midomo yao na kuanza kubadilishana ndimi zao,mmmmmnmywa,,,,,mmmmmnywaaaa,,ilisikika milio hiyo wakati ndimi zao zikiwa zinagombana ndani ya midomo yao,,,

Zilipita dakika tano zoezi la kunyonyana ndimi zao likiendelea ambapo miili yao wote wawili ilishaanza kuchemka kwa joto la mahaba,,,,Suzan nimezidiwa mwenzio nisaidie tafadhari,,,aliongea Nelson huku mikono yake ikiwa inataka kuzama ndani ya mpasuo wa gauni la Suzan ulioishia juu kidogo ya mapaja kwa nyuma,,,Suzan alibaki kimya bila kujibu chochote,,

Ukiachana na eneo hilo walilokuwa wanacheza mziki,kulikuwa na kona Fulani ambayo haikuwa na mwanga sana hivyo Nelson alimshika mkono Suzan na kumvuta mpaka kwenye hiyo kona iliyokuwa mbali kidogo na watu walipo,zoezi la kunyonyana ndimi zao likiendelea huku Nelson akiwa amembana Suzan kwenye kona,mtalimbo wake mnene na mrefu ulikuwa umesimama haswa kama unataka kutoboa nguo yake ya ndani,,,,
Wakiwa wamejibana kwenye kona hiyo zoezi la kunyonyana denda liliendelea kwa dakika kadhaa ambapo Nelson kwa kutumia mikono yake alilipandisha gauni la Suzan mpaka juu kidogo ya kiuno kisha akamshusha nguo yake ya ndani mpaka magotini ambapo binti wa watu akabaki wazi Kitumbua chake kilichotoa harufu ya ute kwa mbali,,,

Alichokifanya,alisitisha zoezi la kunyonyana denda na na kuhamia kwenye sikio la kushoto la Suzan ambapo aliuingiza ulimi wake wenye joto uliokuwa kama unamtekenya ndani ya ngome ya sikio lake,,,Jackson aliunzungusha ulimi wake ndani ya sikio ambapo muda mwingine aliukandamiza,,,aaaah,,,,mmmmh,,,ooooooooh,,,aaaiiissssssss,,,,alilalamika Suzan huku akifumba macho yake na kuacha mdomo wazi,,,,


Wakati anamnyonya masiko na ulimi wake alikichukua kidole chake cha kati ambacho ni kirefu kuliko vyote kisha akakiremsha mpaka chini na kumwingiza Suzan kwenye ekitumbua chake kilichokuwa kimeshaanza kutengeza ute,,,mmmmmmh,,,aaaaah,,alipiga kelele kwa nguvu za kimahaba kiasi kwamba Nelson ilimbidi amzibe mdomo na kiganja cha mkono wake,,,alikiingiza kidole mpaka ndani ya kitumbua na kufanya kama anatafuta kitu hivi,

Suzan alihisi msisimko wa ajabu sana kutokana na kunyonywa masikio na kusuguliwa na kidole kidude chake chenye utamu,,alihisi kama anapaa,mmmmh,,,aaaaaah,,,aaaaah,,alizidi kulalamika ambapo Nelson alipohakikisha kitumbua kimeshakuwa tayari kwa majambozi,aliuchomoa mtalimbo wake uliokuwa mnene na mrefu,akaunyanyua mguu mmoja na kuushikilia vizuri kwa kuubana kwenye ukuta kisha akaushikilia mtalimbo wake na kumwingiza taratibu Suzan aliyekuwa kama anakipandisha kiuno chake juu,,,iiiisshiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaah,,,taratibu mapenziiiiiiii,,,,,aaaah,,,,aliugulia kwa sauti tamu Suzan mpaka mtalimbo wa Nelson ulipozama wote,,,taratiiiibuuuuu mpenziiiii,,,aliendelea kusisitiza Suzan aliyezidiwa kimahaba,,

Basi Nelson hakuwa na namna zaidi ya kufuata maelekezo aliyopewa ambapo mtalimbo wake ulikuwa unaingia taratibu na kutoka huku ndimi zao zikiendelea kugombana ndani ya vinywa vyao,,,,dakika kadhaa Suzan alianza kutangaza kumwaga uji,ambapo alimkumbatia Nelson kama ugomvi,aaaaaa,,,aaah,,,mmmmh,,,aaaaah,,,,oooooh,,,alilalamika Suzan wakati akimwaga uji wake,,na kutulia kimya kwenye kifua cha Nelson aliyekuwa bado anapampu,,,hazikupita dakika nyingi Nelson naye akamwaga ambapo hakumwagia ndani alichomoa mtalimbo na kumwaga uji wake ardhini,,,

We kaka,,kwani hapa ndio nimekojoa?,,,aliuliza Suzan huku sura yake ikiwa na jasho kwa mbali

Naiwa Nelson,kwani ulijisikiaje?,,,

Yaani sijajielewa kwakweli,nimesikia raha ya ajabu nikasahau kabisa kwa muda mfupi kama niko wapi,,,,aliongea hivyo Suzan huku akiwa bado amemkumbatia Nelson

Ndiyo,hapo ndio umekojoa,kwani usipofanya hivyo wakati wa kufanya mapenzi ni sawa na mtu aliyepandishwa mizuka halafu akaachwa bila kumalizwa mizuka yake,,,



alitoa maelezo marefu Nelson yaliyomgusa moja kwa moja Suzan,,,

Anhaa,,mmmh,nashukuru

Kwani hujawahi kukojoa,,?

Ndiyo,tangu nianze mapenzi sijawahi,ilifika muda mpaka nikahisi nina matatizo,nashukuru sana

Wakati Nelson na Suzan wakiendelea kupeana mawili matatu kwa ajili ya kufahamiana vizuri,huku kwenye Tafrija mziki ulishaisha muda mrefu na watu walirejea kwenye viti vyao wakiendelea kupata vinywaji,alikuja bwana mmoja aliyefahamika kwa jina la Adrian ambapo moja kwa moja alipowasili alielekea meza kuu na kuketi na wazazi wa Suzan,walisalimiana vizuri kisha Baba Suzan akaanza kupepesa macho kumtafuta Suzan,,mama Suzan!,mwanao ameenda wapi?,ona mchumba wake amekuja kwa ajili yake,,,aliuliza hivyo baba Suzan baada ya kupepesa macho na kumkosa eneo hilo,,,

Wakaitwa vijana wawili watumishi wa nyumbani hapo kwa baba Suzan na kuamrishwa wamtafute Suzan ndani ya nyumba na mwingine azunguke eneo hilo la Tafrija walihisi pengine Suzan atakuwa amepumzika ndani au amechanganyika na watu wengine,,

Mlinzi mmoja aliyeitwa Mayunga ambaye jukumu lake lilikuwa kuzunguka eneo la Tafrija kumtafuta Suzan,baada ya kumkosa kweny emchanganyiko wa watu,alianza kuzungukia kwenye maeneo yaliyotawaliwa na giza,tochi yake ilipomulika kwenye kona Fulani,,,aaaah,,we jamaa vipi bwana?,,aliongea Nelson huku akionyesha kukerwa na kitendo hiko cha kumulikwa na mwanga wa Tochi,,,samahani Bosi kuna mtu namtafuta,,,aliongea hivyo Mlinzi huyo na kuzima mwanga wa Tochi yake,Nelson alitoka akiwa peke yake na kurudi kwenye Tafrija pale alipokaa mwanzoni,,,

Mlinzi Mayunga,baada ya kuondoka Nelson alirejea na Tochi yake kisha akamulika tena pale kwenye kona alipomkuta Nelson,akasogea mpaka kwa karibu,japo palikuwa na harufu ya manukato ambayo Suzan alijipulizia siku hiyo,lakini ile harufu ya ndege kuliwa ilikuwepo kwa mbali,macho yake yaliyokuwa makini yalipoendelea kukagua eneo hilo yaliona bangili ya mkononi na Pochi vikiwa vimedondoka chini,,,

Hii bangili inafanana na ile ya Suzan,au nimeifananisha?,na hii Pochi sijui ya nani,,akawa anawaza avipeleke kwa Baba Suzan ili vitangazwe vijulikane ni vya nani,mlinzi huyo mwaminifu,hakuwaza kabisa kuvificha vitu hivyo,


japokuwa bangili ile ilikuwa ni ya dhahabu na pochi alipoikagua ilikuwa na kiasi kingi cha fedha,,

Kwa upande wa Baba Suzan baada ya yule mtumishi kwenda na kumwangalia ndani Suzan,aliirudisha jibu kama alivyoambiwa na Suzan kwamba hawezi kuja anajisikia vibaya,tumbo linamuuma,ila hakuna haja ya kwenda kumwangalia atakuwa sawa tu,,ujumbe huo alifikishiwa pia Adrian ambaye ndiye mchumba wa Suzan,,,

Mlinzi mwaminifu Mayunga akiwa anajiandaa kutoka kwenye kona hiyo ili akavipeleke vitu hivyo vikatangazwe ili mwenye navyo ajitokeze na apewe,,,akiwa hana hatua nyingi,kabla hata hajaufikia mwanga alirudishwa na mkono wa mtu asiyemfahamu mpaka kwenye Kona pale walipochezea mchezo mtamu Nelson na Suzan,,,

Kumbe alikuwa ni Nelson,alimbananisha mlinzi kwenye ile kona huku akimkunja shati na kumkandamiza kwenye shingo yake maeneo ya koromeo na kumtolea macho kwa ukali,,
,,,pochi yangu iko wapi?,,,
,,,hii hapa Bosi wangu,,,

Aliongea mlinzi huyo maneno yaliyoambatana na kumkabidhi pochi yake Nelson,akiwa haamini kitendo hicho alimwachia mlinzi na kuanza kuikagua pochi yake,alipoona kila kitu kiko sawa,kiubinadamu aibu ilimshika,lakini hakutaka kuomba radhi,aligeuka na kuondoka kwa hatua za taratibu,,,Bosi na hii ni ya kwako?,,,aliongea hivyo Mlinzi huyo huku akimwonyesha ile bangili ya dhahabu ambapo Nelson alipoiona alishtuka na kukubali haraka huku akionyesha kumshukuru sana mlinzi,,kichwani mwake Nelson alijua wazi bangili ile ni ya Suzan akaichukua kwa makusudi,,,

Tafrija iliisha salama na kila mmoja alirejea nyumbani kwake,,kwa upande wa Nelson akiwa nyumbani kwake amejilaza kwenye kochi lake aina ya Sofa jeupe huku akiangalia Televisheni,mkono wake mmoja wa kulia aliuweka kifuani huku akiwa ameshikilia ile bangili ya dhahabu,Kumbukumbu zake zilikwenda moja kwa moja kwa Suzan,alikumbuka tukio zima la Tafrija na jinsi alivyofanya mapenzi na Suzan,alibaki akitabasamu huku akiona jambo hilo kama ndoto kwasababu Suzan alikuwa ni binti mzuri aliyejaaliwa mvuto wa hali ya juu.

Siku ile walibadilishana hadi namba za simu ambapo Suzan alimsisitiza Nelson...

...
MWISHO






Blog