Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

MAMA J

  

MTUNZI : GEOFREY MALWA




Ni historia ndefu ambayo inatakiwa niwahusishe ninyi ndugu zangu maana inasisimua, inaburudisha na kufundisha pia. Ni kisa kilichojaa Matukio mengi mno ya kuvutia, ooh Mama Jei sehemu ya pili.

Ni mama niliyezoea kumheshimu sana tangu nikiwa mdogo, alikuwa rika la mama yangu na kwavile walikuwa marafiki na mama yangu mzazi ikabidi nimuite mama mdogo. Mimi kwa majina naitwa Deriki, ila kutokana na umaarufu wa jina la mama Dii basi nami nikawa naitwa Dii.

Katika makuzi, nilikuwa na Jei niliyemchukulia kama ndugu yangu, tulisoma pamoja kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari, lake langu langu lake, la upumbavu pamoja, la udananda pamoja, umruke yeye unikanyage mimi, au uniruke mimi umkanyage yeye, hatukuachana katika matembezi yetu ya ardhini na mpaka kwenye vile viwanja vidogo pendwa zaidi.

Maisha hayakuwa haba sana, tulijimudu kawaida. Pia familia ya kina Jei ilikuwa inajimudu ila kuna kipindi wazazi wa Jei waliachana hivyo mama Jei alikuwa akiishi na mama yake tu.

Miaka ilizidi kwenda, na sasa tumekuwa watu wazima, miaka ishirini na sita sio mchezo! Bado nipo karibu na Jei kama rafiki wangu wa kushibana. Kuna kipindi tulishahitilafiana lakini tulikuja kuwa sawa maana halikuwa jambo kubwa.

***
“Ahsante mpenzi, nimeridhika,” alisema Tasha
“Usijali, nilikuwa na ugwadu hatari,” nilimjibu
“Mh! Na kweli maana sio kwa mikunjo ile, kama ya Yule mchina,”
“Mchina…” nilicheka sana
“Unacheka nini?”
“Yule mchina noma, ila mpenzi wangu inabidi siku tupange nikuandae, nikupige katerero utoe maji kama yule mchina,”
“Hicho ndicho ninachokupendea babaangu, yaani unanijali mpaka najiona kama malkia, nakupenda sana,”
“Usijali, ni kazi yangu,”
“Yaani unavyonikuna, nikirudi nyumbani nakuwa sina hamu hata kidogo na mwanaume mwingine, nawaheshimu sana wanaume kwa ajili yako,”
“Ahsante, leo nilikuwa nimekupania sana,”
“Niliona tu ulivyokuwa unayapiga makalio yangu utadhani yamekukosea,”
“Ndio sehemu ninayoipenda kuliko zote yaani,”
“Najua, ndio maana kuna mafuta fulani nayatumia ili yawe laini kwa ajili yako babaa.”

Tasha alikuwa ni mwanamke niliyempenda kuliko maelezo, nashukuru naye alikuwa akilitambua hilo na kunithamini. Hapo alikuwa amekuja nilipokuwa nakaa katika
.


ya kupangisha, nilipanga chumba, sebule, jiko, bafu na choo ndani.

Tuliongea mengi sana, na jambo moja ambalo nilikuwa nina uhakika nalo kuwa nalifanya kwa asilimia mia ni kumridhisha Tasha kitandani, nilipokuwa nikimkamata nilihakikisha namkuna kwa jinsi niwezavyo kwa akili zangu zote na kwa nguvu zangu zote. Tasha alizidi kunipenda kwa suala hilo ambalo kila tukimaliza lazima alizungumzie na kuonyesha wivu kuwa siku akinikuta na mwanamke mwingine nampa utamu kama anaoupata basi ataniua.

Baada ya soga nyingi tukiwa kama tulivyokuja duniani, Tasha aliniuliza jambo,
“Bebi nikikwambia kitu utakiweka kifuani kwako tu?”
“Ndiyo, kwanini unasema hivyo?”
“Nina umbea kuhusu yule rafiki yako, shemeji Jei,”
“Jei?”
“Ndiyo mwenzangu, yaani jambo zito, nyie dunia hii, puuh!”
“Mbona unanitisha!”
“Sikutishi, ila nimeamini ukifanya baya kwenye mitandao halifutiki kwakweli,”
“Jei kafanya nini kwenye mitandao?”
“Angekuwa Jei si hata wewe ungeshasikia,”
“Hebu usinizungushe bwana, nyoosha maelezo nikuelewe,”
“Angalia hii video.”
Tasha alinipa simu yake ya mkononi huku mapigo yangu ya moyo yakinienda mbio maana ni jambo ambalo lilitikisa akili yangu. Shauku kubwa ya kutaka kujua nilichotakiwa kuona ilinifanya nidondoshe simu ya mpenzi wangu,
“Bebi tuliza presha, sio jambo baya sana,”
“Sawa.”
Niliiokota simu na kuishika vizuri “Kwenye faili la ‘WhatsApp Video’ alinambia hivyo ambapo nilikwenda na kulifungua “Hao waliovaa jezi za yelo na grini.
Niliifungua ile video na kuanza kuiangalia, laahula makurunyuta! Nilimuona mama Jei akiwa na baba fulani faragha…
“Huyu ni mama Jei..”
“Ndiyo, enzi hizo sisi tukiwa hatuna uelewa wa mitandao ya kijamii,”
“Aisee! Ananyonya obo,”
“Halafu alisema kabisa siku picha zake zikivuja atakufa,”
“Mungu wangu! Ikimfikia Jei itakuwaje?”
“Nimewaza sana kwakweli,”
“Halafu huyu jamaa alisemaje mwanzoni kabla ya mama Jei kuanza kunyonya obo,”
“Alisema ‘Suck it, suck it baby,”
“Anhaa, aliongea kimombo, e bwana eh!”
“Ipo nyingine alipokuwa akikatika uwanjani,”
“Mh!”
Basi niliiangalia na hiyo aliyokuwa akikatika uwanjani ambapo alichomekea jezi yake ndani ya suruali ya jinzi. Aliyarudi mauno ya nguvu, yale ya ndidimizie kwa chini na
.


na nipandishe kwa juu kiminyato.
“Mama Jei! Kha!” nilishangaa
“Kwahiyo hakuna inayoendelea?”
“Mpuuzi kweli wewe! Tena ukishaangalia hapo ukatubu,”
“Sasa tutubu mara ngapi!”
“Mwenzio nilipomwangalia tu yule mchina niliendakutubu…”
“Lakini subiri kwanza…”
“Nilishangaa uangalie bila kusema chochote!”
“Hamna, tunajadili tu, huyu jamaa kitambi futi mia, kiobo inchi mbili! Kha! Jitu zima kiobo gani hiki?”
“Usiwadharau hawajapenda kuwa hivyo watu wa aina hiyo,”
“Mtu sio mnene, hana kitambi, hapo sawa ninaweza nikasema hajajitakia, ila una kitambi, bonge na una kiobo kama huyo jamaa ni uzembe,”
“Kwanini unasema hivyo?”
“Kitambi kinanyonya umbo la obo, unene ndio kabisa unaifanya damu isisafiri vizuri hasa kuelekea kwenye mishipa ya obo, na ukifuatilia vizuri mtu mnene ulaji wake wengi ni wa ovyo,”
“Na wanene wa kuzaliwa je?”
“Labda hao lakini, hawatakiwi kujiachia.”

Tasha alipohakikisha nimeziona hizo video za mama Jei ambazo zilikuwa kila mahali kwenye mitandao ya kijamii alianza kunisimulia jinsi mambo yalivyokuwa kipindi hicho kati ya mama Jei shabiki kindakindaki wa grini na yelo na mchepuko wake.
“Unaambiwa huyo baba alikuwa na mke, japo mkewe baada ya kusikia hivyo alikasirika na baadaye alimsamehe na maisha yakaendelea,”
“Kwahiyo alikuwa ni mchepuko wake?”
“Ndiyo, unaambiwa baada ya mama Jei kuachana na baba Jei, akapata huo mchepuko ukawa unahudumia kila kitu, na unaambiwa mama Jei alikuwa anamfanyia kila kitu huyo baba,”
“Acha bwana!”
“Ndio hivyo,”
“Lakini haya yote umeyajuaje?”
“Nimeyatoa nyumbani, mama alikuwa akisimuliwa na rafiki yake, akamtumia hiyo video, huyo rafiki yake anajua mpaka mahali ilipo familia ya huyo mchepuko wa mama Jei.
“Kha! Duniani kweli ni padogo sana,”
“Laiti kama mama angejua kuwa huyo Jei tunamjua!”
“Lazima angeomba umwonyeshe…ila na wewe kupekua simu ya mama yako vipi?”
“Anaiachaga nyumbani anaenda zake kusuka, yeye anajua sijui neno lake la siri, ila mama huwa anatumiana na baba jumbe za kijinga, tena wanatukana kabisa,”
“Wewe unakaribia kupata laana,”
“Kabisa! Kwa kusoma vile zile jumbe nisilaanike si nitakuwa mtoto wa malaika.”
Alinichekesha sana Tasha, ambapo muda wote nilikuwa nikiangalia alivyokuwa akiyumbayumba makalio


MWISHO





Blog