Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

SEX CHAT

  

MTUNZI : GEOFREY MALWA



Msisimko wake utakuwa sio mgeni kwenye mwili wako kama ulishawahi kupitia ‘SEX CHAT’ yaani Maongezi kupitia jumbe fupi, jumbe hizo zinakuwa zina lengo la kusisimua mwili kwa ajili ya tukio moja tu takatifu la kunyanduana.

Wapo wanaotumiana jumbe hizo kama namna ya kuzidisha tamanio la mchezo, pia wapo wanaofanya hivyo ili kutuliza mihemko yao, hapo kwenye kutuliza mihemko lazima nyeto ihusike. Pia kuna wanaotumia hivyo kama njia ya kumlegeza mtu mtu anayetaka kumnyandua hivyo hujipambanua na kufafanua mambo ili waonekane ni wajuzi wa mavituzi kitandani, mara nyingi wenye tabia hii huwa ni Wanaume au Wanawake wanaouza kei.

***

Isha na mama yake baada ya kutoka sokoni kufanya manunuzi ambapo walikwenda kwa usafiri binafsi. Wakati wa kupanga mizigo hiyo kila mmoja mahala pake, kwenye kiroba cha mchele mama Isha aliona namba za simu,
“Watu wanajua kufanya biashara bwana,” alisema hivyo
“Kwanini mama?”
“Njoo uone…” Isha alikwenda jikoni na kuona jinsi mtu alivyobandika karatasi ndogo yenye namba za simu.
“Ila namba za Yule kijana ninazo,”
“Labda hizo ni zingine…”
“Mh! haya bwana.”
Basi walipanga pamoja mizigo kila mahala kama ilivyotakiwa.

Kumfanya kuwa rafiki yake wa karibu na kueleza hisia zake kwa uhuru ilikuwa ni faida kubwa aliyokuwa nayo Isha kutoka kwa mama yake mzazi ukizingatia mama yake hakwenda umri sana. Kwa jinsi mama Isha alivyomlea mwanaye, Isha alikuwa huru kujieleza chochote alichopitia.

Baada ya kupita miezi mitatu, mama Isha alibadili simu hivyo kuna baadhi ya majina hayakuwepo tena, uliwadia ule wakati wa kufanya manunuzi ya vitu vya nyumbani. Baada ya kugundua kuwa hata ile namba ya Yule kijana wake wa sokoni haikuwepo, akakumbuka kuwa kuna namba ilikuwa kwenye kiroba cha mchele, akakitafuta na alipokipata akaiandika hiyo namba na kuihifadhi kwenye simu,
“Mama tusiende leo, twende Ijumaa sokoni,”
“Umeanza uvivu wako Isha,”
“Hamna, leo sijihisi vizuri, kichwa kinauma,”
“Unadeka wewe!”
“Nitadeka wapi tena…”
“Mbona huwa hufanyi hivyo kwa baba yako,”
“Yule yuko makini muda wote,”
“Ndio umdekee sasa,”
“Nimemmisi lakini, anarudi lini? Utasikia, we msichana mzuri unavaaje hivyo?” alipomuigiza baba yake jinsi aongeavyo
..


basi mpaka mama yake alicheka.

Usiku ulipofika, mama Isha alikuwa kitandani, alipitia majina yake katika mtandao wa ‘Wasapu’ na kuona jina alilolihifadhi Sokoni, ndiyo ile namba aliyoitoa kwenye kiroba.

Kuna mambo hakuyaelewa pale alipoona ile picha kwenye ‘profaili’. Kwanza hakuwa Yule Muuzaji wa sokoni aliyemzoea,sura ilikuwa tofauti na alivalia suti nyeusi. Alikuwa na muonekano mzuri usoni kiasi cha kuzinasa dakika kadhaa za mama Isha kutazama hiyo picha.

Mama Isha aliwaza sana, aliperuzi kwenye mitandao mingine kisha akarudi tena ‘Wasap’ usiku ulizidi kutota, yalikuwa majira ya saa sita, alifungua jina sokoni, kwenye uwanja wa kuchati akaanza kuandika na kufuta, alijishauri sana kumtumia ujumbe muda huo, kimakosa alipotaka kufuta alibonyeza kitufe cha kutuma, haraka ujumbe ukaweka tiki mbili ukiashiria umefika. Haraka aliufuta,
“Habari!”
“Nzuri, nani?” mama Isha alijishaua kuuliza hivyo
“Umenitumia ujumbe halafu ukaufuta,”
“Itakuwa nimekosea namba,”
“Hujakosea, niliandika namba yangu kwenye kiroba cha mchele,”
“Mh! Wewe ni muuzaji sokoni?”
“Hapana, japo nahusika na masoko,”
“Sasa wewe ni nani?”
“Ni muda mrefu nimekuwa nikituma namba zangu, nashukuru leo umeiona,”
Mama Isha aliona haelewi alichokuwa akiambiwa ikabidi ampigie simu kabisa, Jamaa akapokea, wakatambuana, alijitambulisha kwa jina la Sosi.

Sosi aliongea kwa sauti nzito ya kimahaba aliyojaaliwa na Mungu wa majeshi. Mama Isha akajikuta anauliza maswali mepesi bila hasira, Sosi aliutumia vizuri utulivu aliokuwa nao mama Isha. Alieleza kuwa alihitaji sana kuwa rafiki wa mama Isha. Usiku kama huo, mama Isha alipopata ufafanuzi alitulia, yakaanza Maongezi ya kawaida, sijui ndio damu ziliendana, soga zilinoga na kuanza kujiachia kama marafiki vile.
“Umevaa nini usiku huu?”
“Nguo,”
“Najua ila hakuna isiyo na jina,”
“Gauni la kulalia,”
“Na jinsi ulivyoumbwa mama, sikupatii picha,”
“Hebu acha bwana,”
“Kweli tena, nikuombe kitu?”
“Kitu gani?”
“Niruhusu nikuombe,”
“Sawa, sema,”
“Naomba ulale kifudifudi,”
“Halafu?”
“Lala kisha nitakwambia…”
“Haya tayari…”
“Unaweza kuniambia gauni lako limeishia wapi?”
“Bwana, mimi sijui,”
“Niambie jamani, usione aibu kwani siyo mtu mzima wewe?”





“Hata kama, gauni ni fupi bwana…”
“Ndani ya gauni umevalia nini?”
“Mbona una maswali hayo bwana!”
“Ukiyajibu hautochubuka,”
“Haya sijavaa kitu…”
“Daah…natamani kama ningekuwa karibu yako…”
“Karibu yangu ili ufanye nini?” swali hilo Sosi hakulijibu kwa kuongea, aliweka kidole chake mdomoni na kuanza kukifyonza kwa sauti kubwa,
“Unafanyaje?” alihoji mama Isha bila kujibiwa
“Wewe! Unafyonza nini?”
“Hicho ndicho ambacho ningekufanya…”
“Kunifyonza?”
“Ndiyo…”
Simu ya mama Isha ilizima kwa kuisha chaji, hapo ndipo ukawa mwisho wa Maongezi yao. Mama Isha alitamani kuendelea kumsikiliza Sosi lakini baada ya dakika kumi na tano kupita, kuna upepo fulani wa kumkumbusha nafasi aliyopo ulimpitia, akaanza kuona amefanya kosa kubwa kumruhusu huyo mtu tena hata hakumfahamu. “Hivi imekuwaje? Mbona nimejiachia hivyo? Nimeanza kuwa mke wa aina gani jamani?” maswali hayo yalimfanya mama Isha kufuta namba ya Sosi.

Baada ya kupita siku tatu, mama Isha akiwa nafua nguo na mwanaye, wakawa wanaongea,
“Mama. Ile namba ya Yule wa sokoni niliiona jana kwenye kiroba kingine,”
“Kweli?”
“Ndiyo, ila sio kwenye mizigo ya siku ile, inaonekana ni utaratibu wake maana nimeiona kwenye viroba vingi tu,”
“Kama viroba vingapi?”
“Karibu vyote tu, ni vingi mama.”
Mama yake alimpigia mstari kile alichokisema Sosi kuwa alikuwa akizituma namba zake mara nyingi.

Huku upande wa pili, Sosi akiwa na Bajana, ni rafiki yake wa karibu,
“Kaka! Nyota imeng’aa tena upande wa mashariki,” alisema kwa bashasha Sosi
“Upande wa mashariki! Acha kukufuru, wewe yako ni ya shetani, hiyo ni nyota ya kusini au kaskazini, ya mashariki ni ya mkombozi bwana,”
“Sawa mchungaji,”
“Nipe ripoti kamili,”
“Zile namba nilizokuwa nazituma tangu mwezi wa kwanza, leo hii mwezi wa tisa ndio zimeleta matunda,”
“Kaka kweli? Isha kakutafuta?”
“Mama la mama,”
“Yaani mama yake? Kakutafuta?”
“Jana usiku hiyo, mtoto ananijibu “Hapa nimevaa gauni la kulalia na ndani sijavaa chochote!” hatari,”
“Wee! Mtoto kafunguka ndani ya siku moja?”
“Mara akaanza kusema ooh wewe kaka una sauti nzito inanisisimua mpaka najihisi sijui nataka nini,”
“Kaka hiyo kamba! Hapo umenipiga kamba, mtu akutafute siku hiyohiyo na uanze kumzamisha maneno hivyo?”
..
..


“Ndio maana nilikwambia nyota imeng’aa,”
“Na mwanaye?”
“Sasa ukiwa karibu na mama, mtoto unamfikia kirahisi,”
“Niachie mmoja basi, wewe nipe namba tu mengine nitamaliza,”
“Tulia, acha kupenda mseleleko,”
“Sasa utakula wote mama na mwana?”
“Hivi umewaona kwanza? Utajua hata nani ni nani? Wote ni pisikali, kwanza mama mtu, ana sura Halafu ana makalio makubwa, mtoto, kuchukua kote kwa baba na mama, sio mnene, yaani ni mwembamba kiunoni, otea chini jinsi alivyoumbwa, mtoto ana makalio fulani hivi sijui hata ukimuona utasemaje?”
“Kaka nipe huyo mama basi,”
“Wewe endelea kukaa katika nafasi, nitakupigia pasi, lakini kwasasa niache kwanza.”
Walipiga soga nyingi zikilenga mipango ya kumla Isha.

Sosi lengo lake lilikuwa ni kumnyandua Isha, ila kwa bahati asiyoipinga, namba aliipata mama yake na kuanzisha maongezi. Sosi aliamini kupitia mama anaweza akafanikisha jambo lake kwa mama.

Baada ya wiki mbili, Sosi alitulia kimya akiziamini mbinu zake za kibaharia, siku hiyo majira ya saa tano na nusu, mama ISha akiwa ameshika simu yake, alianza kukumbuka jinsi alivyokuwa akiongeleshwa na Sosi, akajikuta amemtumia ujumbe ‘wasap’
“Umelala?” ujumbe huo ni kama uliamsha hisia za Sosi aliyekuwa akiusubiri kwa hamu kubwa sana
“Nilale nina raha gani?” alijibu hivyo baada ya dakika tano
Waliendelea kutumiana jumbe kadhaa kisha Sosi akampigia simu mama Isha aliyepokea na ni kama waliendelea pale walipoishia.

Ukitoka chumbani kwa Isha, unapita chumba cha mama yake ndio unaingia sebuleni. Siku hiyo Isha hakuwa na usingizi, aliamka na kuja sebuleni kunywa maji ya kunywa, alipopita alisikia mama yake akicheka na kutamka neno ambalo lilimshtua, sasa yeye akawa anamsikia mama yake tu bila kumsikia huyo aliyekuwa akiongea naye,
“Kunyonya dudu hapana, kuna magonjwa,”
“Sijawahi, sipendi, najali afya ya mume wangu,”
“Labda kwa waliowahi ila mimi sijui,”
“Sitaruhusu aninyonye,”
“Bwana acha kuongea hivyo, sauti yako,”
“Basi tu,”
“Nzito na inasisimua…”
Aliyasikia hayo Isha na kumshtua mno, moja kwa moja alijua baba yake anasalitiwa. Aliumia na alizidi kukosa usingizi, kwa hayo mazungumzo aliamua kwenda sebuleni ili asisikie.
“Aaaaahsssss….aaaaaah…ndio nimeingiza kidole,



MWISHO





Blog