Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

NAINGIZA KICHWA TU

  

MTUNZI : GEOFREY MALWA



"Haitopendeza kabisa nichepuke,"
"Ni kweli, jaribu kumzoesha taratibu atazoea,"
"Hataki hata kusikia hizo habari,"
"Mh! Hapo pagumu, mimi mke wangu alinigomea lakini mwisho wa siku alikubali,"
"Ulitumia mbinu gani?"
"Kumuomba sana, ilifikia wakati aliondoka nyumbani, lakini aliporudi niliendelea kumuomba mpaka akakubali,"
"Yaani kaka napata tabu sana, huu mchezo sio mzuri kabisa, ukiuanza hauwezi kukuacha salama,"
"Sasahivi tunafurahia tu,"
"Nayatamani maisha hayo sana,"
"Komaa, anaweza akakiachia."
Maongezi hayo yaliwahusisha marafiki wawili waliokuwa wakishirikishana mambo mengi sana. Multaza ndiye aliyekuwa akipata ugumu juu ya mkewe, aliyekuwa akimshauri aliitwa Ndukanza.
Multaza alporejea nyumbani alimkuta mkewe aliyeitwa Nisha, alikuwa amenuna mno.
"Mke wangu! Hii hali mpaka lini?"
"Mke wangu naongea na wewe, kama kuna tatizo tuliongee,"
"Naomba uniache, kama umenichoka niache!" alisema Nisha kwa hasira
"Kwanini? Kwasababu ya jana ile?"
"Unahisi ni jambo dogo? Yaani sasahivi ndio unanionyesha makucha yako!"
"Sio hivyo mke wangu, nisamehe!"
"Yaani kweli mume wangu ulitaka kunifokoa kwa mpalange?"
"Hapana, ilikuwa bahati mbaya imegusa kwa mpalange,"
"Yaani ni bora uniue lakini sio huo mchezo, kila kona madhara yake yamezagaa, haya ukifika wakati wa kuzaa, utafurahia nipate shida? Mungu alikuwa na makusudi yake kuweka njia ya kupita, wewe ni nani ubadili? Halafu kwenu ninyi madhara sio makubwa kama kwetu,"
"Sawa mke wangu nimekuelewa lakini huu mchezo ni mzuri, sio kama watu wanavyoubeza,"
"Ina maana huridhiki na huku mbele? Au nimekuwa bwawa?"
"Sijasema hilo,"
"Kumbe? Au haya makalio ndio yanayokuchanganya?"
"Hapana."
Multaza na Nisha walijibizana kwa muda ambapo muafaka hawakuufikia. Zilipofika nyakati za usiku, Nisha alikuwa amelala huku gauni lake la kulalia likiwa limeuacha mwili wake kwa sehemu kubwa. Multaza alikuwa macho akiangalia yale mapaja ya mkewe meupe, yale makalio yaliyotuna, ni kitu kimoja tu ndicho alichotamani, kupenyeza dudu hapo katikati ya makalio.
"Mbona hujalala mpaka saahizi

MWISHO





Blog