Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

KEI YA MCHONGO

  

MTUNZI : GEOFREY MALWA




"Mjomba, kuwa makini!"
"Hapana mjomba, kwenye maisha yangu siwezi kuchanganywa na mwanamke,"
"Hivyo vitu havina viapo mjomba kumbuka,"
"Kwangu haiwezi kutokea,"
"Ni jambo zuri mjomba, maana usipojitunza unaweza ukapotea,"
"Hapana, siwezi mjomba nakuahidi."
Fahadi, kijana mwenye umri wa miaka ishirini na tatu, alikuwa akizungumza na mjomba wake aliyeitwa Chanungu. Mazungumzo hayo yalizalishwa na tukio na Fahadi kumkodolea macho mrembo aliyeipita meza yao na kwenda kuketi meza ya kwake peke yake.
"Atakuwa anamsubiria sponsa wake pale," alisema Fahadi
"Dunia ina mambo mengi lakini usimhukumu bwana mjomba,"
"Mjomba wewe hujui, hawa watoto sikuhizi wadogo usoni, ila wanabeba vingi sana,"
"Sijakataa, lakini usimhukumu kwa kumwangalia tu,"
"Sema mjomba, mtoto kama huyu alitakiwa awe shuleni,"
"Kuja maeneo haya kupata chakula sio jambo baya, mjomba kuwa makini maana naona mada ni yeye tu,"
"Hamna mjomba nipo makini sana."
Basi Fahadi macho yalishanasa kwa huyo mrembo, kila muda alimwangalia, kila alichokifanya alikifuatilia.

Mrembo huyo aliagiza chakula, akala na alipomaliza alikaa kidogo kisha akanyanyuka. Alipokuwa akiipita ile meza waliyoketi kina Fahadi, mjomba Chanukwa alimshika mkono na kumsalimia,
"Hujambo binti,"
"Sijambo,"
"Unaitwa nani?"
"Shii,"
"Shii?"
"Ndiyo, Shii shikamoo, shii kaa kimya na usirudie tena kunishika mkono, hujui kama kuna maradhi ya korona?"
"Unaongeaje na mimi namna hiyo,"
"Ungetaka heshima usingenishika mkono bila ridhaa yangu, kama nitakuwa nimekukwaza basi Shiii!"
Shii aliondoka huku akiruhusu maeneo yake ya mgongoni mpaka makalio kutikisika vyema, Fahadi alifanya utalii wa bure huku moyo wake ukiwa umeshamalizwa na Shii.

Mjomba alijibaraguza mbele ya Fahadi kwa aibu aliyopata na walipomaliza kula waliondoka.
Katika maisha yake Fahadi, hakuwa muumini sana wa wanawake, hiyo ilitokana na huzuni kubwa aliyoipitia ya vifo vya wazazi wake katika vipindi tofauti vya miaka tofauti.

Fahadi mbali na huzuni, pia kipindi cha nyuma akiwa anasoma kidato cha sita, alimwamini mwanamke na baadaye akamsaliti na mtu wake wa karibu. Imani juu ya wanawake ikamtoka na alifanikiwa kujiweka mbali nao kwa muda mrefu.
..


Ilikuwa kama utani, Fahadi alijkuta akimkumbuka tu Shii kuanzia jinsi anavyoongea, anavyotembea mpaka alivyokuwa akila chakula. Na kila akifanya hivyo huachia tabasamu tu, naam, hakika Shii alianza kuingia moyoni mwa Fahadi taratibu.

Basi ilipofika kesho yake, Fahadi alikwenda kwenye mgahawa ule ule wa jana aliokwenda na mjomba. Lengo kuu halikuwa kupata chakula, lilikuwa ni kubahatisha pengine angeweza kumuona Shii.

Fahadi alikuwa na Laptop amekuja nayo ili isogeze muda akiwa anambahatisha Shii. Katika hali asiyoitarajia akamuona Shii. Mtoto alivalia suruali ya jinzi, juu alivalia kaba shingo fulani lilimpendeza...hapo kichwani alisuka mtindo wa nywele mistari miwili kwa kutumia rasta zilizozidi na kufika mgongoni. Mtindo huo wa nywele kwa jina ambalo sio maarufu huitwa makalio ya pundamilia.

Alipita na kwenda kuketi kwenye meza aliyoketi jana yake. Shii aliagiza chakula na kuanza kula, alipomaliza hakuondoka. Aliendelea kuchezea simu yake huku akitabasamu. Fahadi na uwoga wa kutongoza, uwoga haukumuacha, alitamani anyanyuke lakini ndio hivyo aliogopa. Shii alikuwa peke yake kwenye meza.

Jamaa mmoja kutoka meza nyingine alinyanyuka na kwenda alipoketi Shii,
"Samahani, naweza kukaa?" Jamaa aliomba
"Samahani, nahitaji kuwa mwenyewe," alijibu Shii
"Jamani, hata kukaa tu?"
"Haya kaa..."
"Ahsante sana mrembo." jamaa alijibu hivyo na kuketi, ni kama walipishana, alivyoketi tu, Shii alinyanyuka na kuelekea kwenye meza ya Fahadi ambaye mapigo yake ya moyo yalimuenda mbio alipoona Shii amemfuata mezani kwake,
"Samahani, naweza kukaa?" Shii aliomba
"Samahani, nahitaji kuwa mwenyewe," alijibu Fahadi
"Jamani, hata kukaa tu?"
"Haya kaa."
Shii alipoketi wote wawili wakajikuta wakicheka mno maana ni kama walimbeza yule jamaa aliyekuwa akiwaangalia kwa hasira akiwa ameketi mwenyewe kwenye meza aliyotoka Shii.

Fahadi alidindisha kwa kitendo tu cha Shii kuwa karibu yake. Wakaanza kuongea, Fahadi kadri muda ulivyozidi kwenda, kujiamini kuliongezeka. Kitu kimoja walichofanana ni kupenda kuangalia filamu sinema.

Vicheko vikatawala mezani hapo kisha ghafla Shii akapoteza furaha yake.
"Nini tatizo?" alihoji Fahadi
..


"Kuna kaka yangu mkorofi, wewe usiongee kitu,"
"Yuko wapi?"
"Huyo anakuja..."
Kweli kuna jamaa mmoja alikuja hapo mezani na kisha akamnyanyua Shii na kuondoka naye, alimvuta kwa kutembea naye mpaka kwenye gari kisha wakaketi siti za nyuma,
"Kim, mbona hukomi kunifuatilia mambo yangu?"
"Unaniita Kim?"
"Acha ukorofi wako bwana..."
"Unaniita Kim, umenisahau tayari..."
Kim aliposema hivyo alipenyeza mkono wake ndani ya blauzi, kidole kimoja kikazama kwenye kitovu na kukitekenya,
"Kim niache jamani,"
"Bado unanita Kim..."
Kim aliendelea kuupandisha mkono mpaka kwenye kifua na kuzikamata zile chuchu, alizishika kwa kuzizunguka taratibu,
"Lakini kwanini unanifanyia hivi! Sisi tmeshaachana..."
"Acha kuongea,"
Kim alimvuta Shii kwa karibu kisha akaanza kumnyonya lipsi huku akimchezea kitovu chake kilichoingia ndani. Wakati wakinyonyana, alishusha mikono yake na kumfungua zipu ya suruali, akaupenyeza mkono wake ndani kabisa ya nguo ya ndani. Alipofikia kwenye kei hakuzamisha kidole, bali alichezea kile kidungurushi mfano wa arage mpaka Shii akalegea.

Kim alipita na kuketi siti ya dereva kisha akawasha gari na kundoka, alipofika njiani aliegesha pembeni kisha akarudi siti za nyuma, alimshika Shii na kumbinua kwa haraka, alimlaza chali kisha akamvua ile jinzi mpaka usawa wa mapaja, hakuitoa yote, aliipandisha cha nguo ya ndani mpaka ilipofika jinzi.
"Kim, kwenye gari?" alihoji Shii
"Bado unaniita Kim?"
Basi Kim alitoa dudu lake lililodinda kisha akanyanyua miguu juu na kufanya kei ya Shii ionekane vyedi, akachukua dudu lake na kichovya kichwa kwenye kei iliyokuwa imelowa tayari, hakuingiza moja kwa moja bali alianza kuchezea kile kidude mfano wa arage kwa kukichapachapa taratibu na kichwa cha dudu.
"Unanifanyaje!" Alisema Shii
Kim hakujibu chochote, alianza sasa utikisaji, yaani alishika dudu huku kile kichwa chake akikichezesha kushoto na kulia kwa haraka, alifanya hivyo bila kupumzika wala kupunguza kasi...
"Aaaaashiiii..."
Shii alishusha pumzi huku akiugulia utamu, utikisaji uliendelea ambapo Shii alikuwa kama amchanganyikiwa, alirusha maji huku Kim akiendelea na utikisaji, mtoto wa kike alilia machozi kabisa,


MWISHO




Blog