Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

KILELENI

 


MTUNZI : GEOFREY MALWA

Unapotegemea kula chakula ili ushibe, ukionjeshwa njaa huongezeka. Ebu fikiria ubanwe na kiu halafu mtu mwenye maji akudondoshee tone la maji, kiu itaisha? Nadhani jibu unalo! Wanaume mungu anawaona, kuchepuka hakutaisha kama mtaendelea kutuonjesha chakula wakati wa njaa na kutudondoshea matone ya maji wakati wa kiu. Natamani nitafute neno baya niwaite hawa wanaume ili niwakere wajue thamani ya mwanamke.

Katika maisha yangu ya ndoa, siku nilizoshiriki ibada takatifu ya usiku kikamilifu, zinahesabika, ni kipindi kile cha mwanzoni tu. Tangu nijifungue mwanangu Sasha, sikuwahi tena kufurahia ibada hiyo iliyokuwa ikifanyika utadhani mchungaji ana chuki na waumini wake.

Kwa majina naitwa Nelia, pia unaweza kuniita mama Sasha. Mwanangu nilimpenda sana, kwa muda huo alikuwa na umri wa miaka mitano. Ndani ya kipindi cha miaka saba ya ndoa sikuwahi kumsaliti mume wangu, lakini kwa muda huo uvumilivu ulinishinda na nilidhamiria kutafuta mchepuko unatakaoziba pengo la mume wangu, baba Sasha.
“Nyumbani kwetu kuna chakula, mavazi, anafikiri kwake nimefuata nini? Mchi! Ndio nimefuata mchi, sasa kama hanitwangi vizuri nifanyaje na kumwacha siwezi?”
Hayo mawazo yalikuwa yakizunguka akilini mwangu muda wote na kujipa uhakika nina sababu ya msingi ya kuchepuka. Kilichoniumiza zaidi nilikuwa ni mwanamke mzuri, najijua sio mpaka niambiwe. Navutia kisura, kiumbo, kutembea mpaka kuongea, kifua changu japo nilinyonyesha mtoto mmoja namshukuru Mungu ukiniangalia utadhani sijazaa kwasababu ni kama kuna miiba hapo kifuani.

Kutoka ndani ya moyo wangu nilimwogopa baba Sasha hasa kwenye kumwambia ukweli kuwa uwanjani huwa haleti matokeo mazuri kwangu. Nimemzoea lakini niliogopa kumwambia hivyo kwa kuhofia angeweza kukasirika na kujiona nimemdharau. Ili nichepuke vizuri, nilimuaga baba Sasha nakwenda kumsalimia mama. Kwavile hapakuwa mbali nauli buku mbili tu aliniruhusu, niliondoka bila Sasha kwavile alikuwa anasoma. Dada wetu wa kazi ndiye aliyebaki akitunza familia.

Kwavile sikuongea na mama kumtaarifu ujio wangu, sikumkuta nyumbani. Nilipokelewa na kijana mmoja mwenye mwili wake, alijitambulisha yeye ni ndugu yetu na mama amemwachia nyumba kwa
.
.



muda wa siku mbili. Sijui ni kitu gani kilinipitia kwenye akili na kuanza kumwazia kijana wa watu vibaya, aliposema tu humo ndani yuko mwenyewe kwahiyo na mimi tutakuwa wawili, mwili ulichemka kidogo.

Basi nikakaribishwa chumbani kwa mama kwasababu ilikuwa ni nyumba yenye vyumba viwili tu. Hiko kingine ndio alilala huyo kijana.

MITEGO YA KUOMBA MCHI

Kwanza, nilishanunua mpira wa kuuvisha mchi kama nitauelewa, sikutaka kavukavu. Kuna muda nilijiona mjinga ila tayari nilishaamua kutoa ikulu ishughulikiwe na watu wengine kwani mume wangu hakuiweza tena.

Ilikuwa ni baada ya kula, nilipika ugali, mboga za majani na kitimoto. Wakati huo mwanamke niko ndani ya kigauni cha mpira. Kifuani ndani yake sikuvaa chochote na kusababisha vilivyochomoza vichomoze vyema na kutamanisha. Sikutayarisha maji ya kunywa kwa makusudi, ilipofikia muda wa uhitaji, nilinyanyuka na ndicho nilichokitaka, huku nyuma sasa na ule msamba niliojaaliwa, chura waligongana tu na muda mwingine walisababisha kagauni kangu kanase kwenye mstari wa ikweta. Jamaa alinitolea macho bila kuvunja kiasi kwamba hata nilipogeuka hakuwa na habari, alikodolea macho chura huku moyoni nikijisemea “Umeshaisha wewe!” nilileta maji ya kunywa, wakati nammiminia hakuacha kunitazama kifuani, tayari nilishamkamata.

Kwa macho yangu ya wizi nilimwangalia ile sehemu ya mchi, ni kweli ilituna lakini haikunipa majibu niliyoyataka, nilihitaji awe na mchi mzuri, mnene na mrefu kiasi, sio kimchi cha kutwangia vinu vidogo. Ili nijue hivyo, nilipomaliza kummiminia maji nikajifanya kama nimeteleza halafu mkono wangu ukatua kwenye zipu na kuushika mchi kabisa, nikajiridhisha kuwa jamaa yuko vizuri.
“Aah samahani sana,” kinafki nilimtaka radhi
“Usijali, umeumia?” naye hakuwa boya, asinishike kiuno eti ndio kunipa sapoti ya kuninyayua!
“Mbona mkono wako kama una shoti?”
“Shoti! Kwani mi umeme?”
“Sawa, basi kama ukitaka kutoka niambie, mi niko ndani?” nilimwongelea kwa sauti Fulani, sikumbuki hata kama mume wangu nilishawahi kumwongelesha hivyo, halafu nikamkumbatia ile kwa hisia na kumwacha akiwa na maswali kichwani.

Niliingia chumbani halafu kwa makusudi niliurudishia mlango na kuacha sehemu
.
.

Fulani wazi ili anione jinsi nitakavyokuwa nimelala kwasababu nilijua tu atakuja. Kwani zilipita hata dakika tano! Alivyo mjinga hakujua hata kunyata, nilimsikia hatua zake kuanzia sebuleni. Nilivyolala Jamani sasa! Kishumundu juu utadhani kilitaka kugawanyika, tena nilivyo na makusudi niliweka mto chini ya kiuno, kile kigauni nilichovaa utadhani kilipulizwa na upepo maana kilipanda sana juu mpaka kufuri langu la njano lilionekana, hayo mazingira niliyatengeneza ili jamaa aingie mtegoni kilaini.

Akawa ananichungulia huku akiwa ameshika mchi wake uliokuwa umefichwa ndani ya suruali yake, mimi nilizidi kukibinua juu kishumundu changu utadhani breki za Honda. Yaani nahisi alipokuwa akiangalia ule uvungu wa kuingilia ikulu, na jinsi kufuri langu la njano alivyokuwa akiliona, ndio mchi wake ulizidi kuinuka. Kweli wanaume ni dhaifu sana japo wao ndio wanatusingizia sisi ndio dhaifu.
“Ingia tu, unachungulia nini?” alishtuka nilipomwambia hivyo kwani tuliangaliana macho kwa macho
“Nilikuwa nakuaga kuwa natoka,” akazuga hivyo. Safari hiyo nilipomwangalia pale kwenye mchi daaah! Ungeweza kudhani suruali muda si mrefu itatoboka.

Nilinyanyuka kitandani na kumfuata pale alipo mlangoni, umbali sifuri tulisimama, alikuwa akihema hasa, kusema ukweli nilimzidi kama miaka mitano hivi, lakini ndio hivyo nilishadhamiria kuchepuka naye, umri ulikaa pembeni kwanza. Mkono wangu wenye kihelehele ukashuka chini kuusabahi mchi uliokuwa unataka kurtoboa suruali, nikawa naufuatisha jinsi ulivyotuna kuanzia kwenye kichwa mpaka kwenye shina, nilijua tu mchi huo umekata kamba na kutoka nje ya kufuri lake ndio maana niliouona kwa urahisi.
“Leo dada yako anataka umkune,” nilimwongelea kwa sauti Fulani ya kuhitaji mchi hasa, unadhani alijibu! Alibaki akishangaa tu.
“Na naona uko tayari, utanitendea haki?” alitikisa kichwa kuashiria yupo tayari
“Mbona hujiamini! Unaniogopa?” nilipomshtumu kuwa ananiogopa ndio nilichokoza mzinga wa nyuki, aliuzungusha mkono wake kiunoni kwangu kisha akanivutia kwakwe zaidi japo tulikuwa umbali sifuri, mkono mwingine aliuzungusha nyuma ya shingo kisha akawa anauangalia mdomo wangu utadhani ameona chakula kitamu mbele yake,
.
aliuvamia na kuanza kuwaiga njiwa, tuliwaiga njiwa huku taratibu tukisogea kitandani, alinisukuma kisha akavamia tena na kuendeleza mchezo wa njiwa, wakati huo nilimbana na miguu yangu huku mikono ikiwa kama inampaka sabuni kichwani, ghafla mume wangu akanipigia simu,
“Achana nayo!” nilimfokea huyo jamaa kwani alisitisha harakati aliposikia simu inaita, nilimvuta tukaendeleza
Sijui ndio nilikuwa na mizuka! Mchezo wa njiwa niliufurahia sana, na jinsi jamaa alivyo na mwili mpana ni kama alinimiliki hapo kitandani, vidole vyake vilipotua masikioni nilisisimka mpaka nilitamani kuongea kitu ila sikujua ni nini. Kwa mara nyingine simu ikaita, jamaa akaichukua na kunipa, nilimkata jicho la hasira kisha nikapokea,
“Mke wangu mpenzi, nimekumisi,” jamaa aliposikia hivyo ni kama aliwaza kitu Fulani, akajisaula kila kitu kisha akajilaza pembeni yangu akiwa amenikumbatia ili asikie vizuri
“Nimekumisi pia, mume wangu kipenzi,”
“Umefika salama?”
“Mke wangu…!” ilimbidi aniite baada ya kuona sijamjibu, huyu jamaa alikuwa ameshaanza kushambuli sikio langu la kushoto kwa ulimi wake,
“Ndio mume wangu, nimefika salama kabisa, mama anakusalimia,”
“Ooh, halafu mbona unaongea kama unachepuka,” hilo swali lilitushtua wote wawili na kutuacha na mshangao
“Kwanini Jamani mume wangu?” sasa aliyekuwa ananifanya nijibu kwa sauti ya upole ni huyu jamaa aliyekuwa akigusa sehemu za milipuko, na kwa muda huo alikuwa akicheza na vilivyochongoka kwenye kifua changu
“Hapana nimekutania tu, ila nataka ukumbuke mke wangu, mi nakupenda sana, unapokuwa mbali na mimi nashindwa kabisa kufanya mambo yangu, wewe ndiye ubavu wangu, narudia tena nakupenda sana na naomba usije ukanisaliti, Mungu akusimamie na akutie nguvu urudi salama, ongea na mwanao hapa,”
Baada ya kuambiwa maneno hayo na mume wangu, hisia zikaanza kukata, Yule jamaa kila alichokifanya hata sikuhisi kitu. Simu alipewa mwanangu Sasha, cha maneno mengi, niliongea naye kama robo saa kisha akamrudishia simu baba yake aliyeendelea kunipa dozi ya maneno,
“Mke wangu, kuna namna najihisi vibaya sana, moyo wangu unauma sijui kwanini, kama wewe uko salama, ngoja nimpigie mama yangu ili nijue hali yake, nakupenda sana,
.
.
.
usichelewe kurudi,”
“Sawa mume wangu nakupenda pia.” Nilipomaliza kuongea hivyo, maneno ya mume wangu yalinibadilisha mawazo kabisa,
“Samahani, najisikia vibaya, naomba uende tutafanya siku nyingine,”
“Kwanini Jamani, ebu shika huu mchi mwenzako niko vibaya,”
“Uwe mwelewa basi, ondoka!” niliongea kwa kufoka kidogo

Basi jamaa ikabidi aondoke na nguo zake mkononi, nikajilaza kitandani nikiwa nawaza kilichotaka kutokea, nilimpenda sana mume wangu lakini nilimisi kukojoleshwa kama mtoto Jamani, mlima alikuwa ananipandisha lakini sifiki KILELENI., alikuwa anafika yeye mimi ananiacha njiani.

“Hivi ni kweli sitajutia kumwacha huyu kijana! Mume wangu ameongea na mimi maneno mazuri lakini sio maneno ninayoyahitaji nahitaji kupandisha mlima na nifike KILELENI”
Baada ya kujiwazia hivyo dakika hiyo hiyo nilijikuta nimenyanyuka na kumfuata Yule jamaa,
“Mbona sikuelewi Jamani,” aliniambia hivyo
“Ninawasiwasi nikikupa kinu utashindwa kukitwagia vizuri na mchi wako,” nilimdekea hivyo, alikuwa bado hajajivika mavazi yake
“Njoo chumbani kwangu.” Aliongea hivyo huku akiwa amenishika kigauni changu kwa kukikusanyia kwa nyuma, yaani alinikwida mpaka kufuri langu lilionekana laivu bila chenga.

Kijana mashughuli, hodari, kijana wa mitwango, mikito ya nguvu, mikito iliyozaa miito ya kimahaba. Mwanamke nilitwangwa kona zote, mchi ulifika mpaka kwenye kona za akiba ambazo mume wangu hakuwahi kuzifikia.

Ule mzunguko wa kwanza, kwakweli sikuufurahia sana kwasababu mawazo juu ya usaliti kwa mume wangu yalinitawala, ila kijana aliporejea kwa mara ya pili, mbinu aliyoitumia ndio ilinipagawisha, hakuona kinyaa hata kidogo. Alinifyonza uvinzani, nilizamiwa chumvini mpaka nikawa nahisi ikulu inataka kuhama. Sasa alipopachika mchi wake wa mweusi ndio kabisa nilisahau mahali nilipokuwa, kwavile nilikuwa na bando la hasira za kikubwa, na nilipata mtumiaji mzuri wa MB za mtandao(Internet) basi nilifunga magoli matatu katika mzunguko huo wa pili,
“Maliza tu, ni nimechoka,” niliomba poo maana sio kwa kasi aliyokuwa nayo
“Sawa, mi napenda niwe nakushika chura, tubadili mtindo,”
.
.
.


MWISHO



Blog