Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

MUUZA SUPU

 


MTUNZI : GEOFREY MALWA


Karibuni katika mwanzo mzuri wa hadithi yetu iliyojaa visa na msisimko wa aina yake,kuna mambo mengine yanaendelea katika baadhi ya vijiji vilivyokuwa bado vinaendeleza mila na desturi zao,,,tukirudi kwa upande mwingine mila desturi zilizokuwa zikifanyika katika kijiji cha TAMUNI hususani kwa upande wa masuala ya mapenzi zilikuwa ni za aina yake na hakuna kijiji kilichokuwa kinazipa kipaumbele mila na desturi hizo kama TAMUNI

Kijana Sonki akiwa ni mmoja kati ya vijana maarufu waliopo katika kijiji hiki cha TAMUNI,Hadithi yetu tamu inaanza Sonki akiwa ameketi nje ya nyumba yake,kama unavyojua tena nyumba za vijijini,nyumba ya Sonki ilikuwa ni ya udongo iliyoezekwa nyasi,,mara anakuja mwanaume Fulani wa makamo aliyemzidi umri Sonki

,,,,kijana wangu naona mdogo wako Chamunde anahitaji kuoa yule binti wa Chambuso hivyo nahitaji uwaandalie SUKUTO ili tuone kama kweli mdogo wako amekua sawa?,,,
,,,,sawa mzee wangu nimekuelewa,kesho nitakujulisha,,,
,,,,nashukuru kijana wangu,,,,
,,,,Hiyena hai,,,
,,,,hai nai lai,,,,

Aliongea mzee huyo ambapo Sonki aliahidi atatekeleza kama mzee huyo alivyosema huku mwishoni wakimalizia na salamu yao ambayo ilikuwa ni lazima mwisho wa Maongezi waiseme,salamu hii iliashiria ujumbe umefika au umepokelewa,,,

Sonki,kijana Hodari aliyekuwa na kazi ya kuandaa SUKUTO katika kijiji hicho,aliaminika na kila mwanakijiji kwa kazi yake nzuri ya kuandaa SUKUTO,kesho yake ilipofika,Sonki alikuwa tayari ameshandaa SUKUTO kwa ajili ya kumwona kama mdogo wake Chamunde anaweza kuoa?,,,

Basi wanakijiji wote wakinamama na kinababa,pia vijana wa kiume na kike waliokuwa na umri zaidi ya miaka kumi na nane,,,waliketi chini nje ya chumba kilichoandaliwa kwa ajili ya zoezi la SUKUTO,Chamunde akiwa amesimama nje ya chumba hicho na Seta binti Chambuso,,kabla ya kuingia ndani mwenyekiti wa kijiji aliwapa baraka zake na kuwaruhusu waingie ndani,,,

Katika kijiji cha TAMUNI,mwanaume alikuwa hawezi kuoa kama hana uwezo wa kufanya mapenzi na mwanamke mpaka akalegea kabisa,na suala la kulegea linapimwa na wanakijiji wote baada ya wawili wanaopimwa kumaliza tendo hilo,,,hivyo hata Chamunde na Seta waliingizwa kwenye chumba hicho
.


kwa ajili ya kupimwa jambo hilo,,,zoezi hilo watu walishalizoea kwasababu lilianza tangu enzi za mababu zao,,,

Wanakijiji wakiwa nje wanasubiri,zilipopita dakika tano baada ya Chamunde na Seta kuingia ndani zilisikika kelele za malalamiko,,,aaaah,,ooooh,,,,aaaaisssssss,,,aaaaah,aaaaah,,Seta alikuwa akilalamika hivyo kwa sauti kubwa,,,basi baadhi ya vijana waliokuwa nje wakaanza kufurahia bila kutoa sauti kubwa,,,zilipita dakika ishirini,bado kelele zilisikika kwa nguvu,Chamunde akiwa juu ya Seta alijituma haswa,,,mpini wake uliosimama vizuri uliingia na kutoka kwa kasi kwenye kitumbua cha Seta ambaye alijitahidi kutumia kiuno chake vizuri kukizungusha juu chini,,,,mmmh,,aaaah,,aaaiiyaaaaaa,,,,uuuh,,alisikika Chamunde ambapo alimwaga uji wake ndani ya kitumbua cha Seta kisha akaunganisha na mzunguko wa pili bila kupumzika,,,aaaah,,ooooh,,aaaaiiiissshhhhhiiiiiiiiiiiii,,,Seta alikunwa vizuri na mpini wa Chamunde ambapo kelele zake za kusikia utamu ziliwafurahisha marafiki wa Chamunde waliokuwa wanafurahia kwa nje,,,

Ndani ya masaa mawili na nusu Chamunde alijikaza hakupumzika,alikuwa juu ya kifua cha Seta akipampu haswa,mpini wake mnene na mrefu uliingia na kutoka kwa kasi,jasho nyingi zilimvuja kifuani,kichwani na mgongoni huku Seta naye akilowa jasho vilevile kutokana na kubiringishana kitandani hapo,,,japo kilikuwa ni kitanda cha miti lakini waliweza kukitumia vizuri,,,,

,,,,nimekubali unaweza Chamunde,,wewe ni mume wangu,,,mi nimeridhika,tupumzike nimechoka,,,kwa sauti ya chini aliongea Seta akiashiria uzalendo umemshinda,,,lakini cha kushangaza Chamunde alikuwa kama ameweka pamba masikioni,,ndio kwanza alizidi kumpanua mapaja yake na kuzamisha mpini wake na kuutoa kwa kasi,alimsugua mtoto wa watu mpaka akaanza upiga kelele kwa nguvu,,,Chamundeeeeee,,,,aaaaaah,,,,,aaaaaoooooh,,,,mmmmh,,aaaaissssshhhhhhiiiiii,,,mamaaaaaaaaaa,,,,aaaaah,,,nakupenda Chamundeeee,,oohhiiuusshiiiiiii,,,kumbe Seta ndio alikuwa anakaribia kumwaga uji wake,alimkumbatia Chamunde kwa nguvu huku akikatika taratibu na kumalizia kumwaga uji wake mwingi uliomwagikia mpaka kwenye shuka,,,Chamunde aliendelea kumsugua kwa kasi,huku naye akijivuta kisha
.


akijivuta kisha akamwaga uji wake mwingi,,,ukichanganya uji wa Chamunde na Seta kwa jinsi ulivyomwagikia kitandani ilionekana kama kuna mtu amekojoa,,,

Baada ya wote kumwaga,,kiukweli Seta hakuweza kunyanyuka kwa muda huo,alichokahaswa kiasi kwamba alibaki ametanua mapaja hata kuyarudisha vizuri aliona kazi,,Chamunde akiwa na bukta tupu ambapo kwa mbele kwenye zipu ilikuwa na matone ya uji kidogo,,,alikwenda na kumwinamia mwenyekiti wa kijiji ambapo alimwekea mkono mkono kichwani ishara ya kushinda kupata mke,,,

Baadaye kama dakika tano zilipopita ndipo Seta akiwa amejifunga upande wa khanga moja aliinuka na kutoka nje ambapo utembeaji wake ulionyesha ni jinsi gani kitumbua chake kilifanyiwa kazi na mwanaume anayejua nini maana ya kukaa juu ya kifua cha mwanamke,,,kwa mwendo wa uchovu alitembea mpaka kwa mwenyekiti ambapo naye alithibitishwa rasmi kuwa mke wa Chamunde,,,

,,,,wanakijiji wangu,nashukuru sana kwa kukusanyika hapa,kuanzia leo,kama ambavyo mmeshuhudia wenyewe,mimi sina mengi ya kuongea,Chamunde na Seta ni mtu na mkewe,,,hiyena hai,,,hai nai laiiiiii!,,,,wanakijiji walianza kushangilia huku wakiwasindikiza Chamunde na Seta mpaka nyumbani kwa Chamunde kisha kuwaacha hapo,,,,

Yaani katika kijiji hiki,kulikuwa hakuna kutongozana wala kupendana,walishajijengea kwenye akili zao kwamba mtu anayekupenda na anayestahili kuwa mumeo ni yule anayejua kukisugua vizuri kitumbua cha mwanamke kitandani,,,na mpaka inafikia hatua ya mwanaume kuingia kwenye SUKUTO na mwanamke,lazima watakuwa wameshabishana sana kwamba nani ni mkali zaidi ya mwenziye,,,wasichana wa kijiji hiki walijengewa dhana kwenye akili zao ya kumdharau mwanaume asiyeoa mpaka atakapoonyesha uanaume wake wa kumridhisha mwanamke kitandani ndipo wampe heshima,,,dhana hiyo kwa upande mwingine iliwanyima raha vijana wasiooa bado,kwani walikuwa hawaheshimiwi

Mbali kidogo na kijiji hiko,haya yalikuwa ni maeneo ya mjini kidogo ambapo palichangamka kiasi chake,,ndani ya nyumba ya mzee Kilomo zilikuwa ni nyakati za usiku wa saa sita,,,mkewe Kilomo aliyejulikana kwa jina la Ziha,kiukweli hakupata usingizi,alikuwa amelala macho juu huku akijawa na masikitiko sana,,,

.


Mume wangu,,,mbona unanifanyia hivi,mimi ni mkeo nina kiu,nakuhitaji baba yangu,ni wewe tu unayeweza kunipa hiki kitu,nakuomba mume wangu,,,aliongea hivyo Ziha huku akimpapasa Kilomo na mikono yake laini maeneo ya masikioni mpaka kifuani,,,bwana mimi nimechoka!,haelewi tu!,,,najuta hata kuoa mwanamke kutoka TAMUNI,yaani anataka afanye mapenzi kama kesho hakuna tena!,,vumilia tu bwan mi nimechoka,,,,maneno hayo yalimuumiza sana Ziha ambapo yalimfanya akumbuke wosia wa wazazi wake bwna na bibi Chambuso,,,mwanangu,kama unavyojua taratibu za kijiji chetu,mwanaume akitaka kukuoa lazima apitie kwenye SUKUTO,haya mambo ya kutoleana mahali sisi sio bidhaa,lakini wewe mwenyewe umesema umempenda sawa!,,,hayo yalikuwa maneno ya wazazi wake ambapo alipokumbuka aliona kama amekiuka miiko ya kijiji chake,,,

Mbali kabisa na kijiji cha TAMUNI chenye utamaduni wa aina yake,ilikuwa ni katika jengo moja zuri lililofanywa kuwa kama mgahawa ambapo waliopata kuhudhuria kwenye mgahawa huo walikuwa ni watu wenye pesa nyingi,,,jengo la mgahawa lilikuwa ni kubwa na lenye nafasi ya kutosha,ndani palikuwa na sehemu yenye viti vya kawaida na sehemu nyingine ni sofa,ilikuwa sio rahisi kwa mtu wa hali ya chini kumkuta kwenye mgahawa huo,Lina akiwa ndio binti mrembo mmiliki wa huo mgahawa alioupa jina la SWEET HOME,,

Siku hiyo Lina akiwa na rafiki yake Sensia ndani ya mgahawa huo ambao ulikuwa maalumu kwa uuzaji wa supu pekee,kuna jambo lilionekana kumtatiza Lina,,,

,,,Sensia,ujue tangu aondoke yule kijana aliyekuwa anatengeza supu,sijawahi kupata tena kijana mtengenezaji wa supu nzuri kama yule,,
,,,hivi aliendaga wapi jamani,ujue hata mimi mwenyewe nilikuwa nakuja kunywa supu hapa,,,
,,,Alisema kuna matatizo yametokea kijijini kwao hivyo anahitajika haraka,sasa tangu ameondoka ni miezi sita sasa imepita,sijui kimemkuta nini jamani,,,
,,,sasa rafiki yangu unapajua huko kijijini kwenyewe?,,,
,,,kiukweli nimelisahau jina la kijiji chake lakini nikilikumbuka nitakwambia,,,
,,,ni vyema tumrudishe maana hata wateja nao wamepungua siku hizi japo sio kwa kasi,,,,
,,,inabidi tufanye hivyo,,,kauli hiyo ilimaliza Maongezi yao ambapo walianza kupiga stori nyingine
.


Tukirudi kijijini TAMUNI ambapo muda si mrefu Chamunde ameoa,kiukweli katika kijiji hiki ukioa ni sawa umetua mzigo mzito wa gunia la miba kichwani kwani watoto wadogo walikuwa wanakudharau mpaka unajihisi una mapungufu kweli,kwa upande wake Chamunde baada ya kuoa heshima ikaanza kurudi huku kila asiyeoa hakuleta dharau tena,,,

Kijiji hiki kilijaaliwa kuwa na mto walioupa jina la NGASHA,ambapo ulitumika kwa matumizi ya kufulia nguo na kuogea,,,,mahali ambapo walikuwa wanaogelea wanawake palikuwa sio mbali sana na walipokuwa wanaogelea wanaume,,,,Jamali akiwa na wenzie watatu ambao walikuwa na umri wa miaka kama ishirini na sita kushuka chini ambapo mdogo kabisa alikuwa ni Togara mwenye miaka ishirini na tatu,,,basi Jamali na Sande wakashauriana kwenda kuwachungulia wanawake waliokuwa wanaoga,,,uzuri wa mto huu ilikuwa hairuhusiwi mke au mume wa mtu kuoga

Jamali akiwa ndio kiongozi huku nyuma yake Sande akimfuata,walijibana kwenye majani mbapo palikuwa na uwazi uliowawezesha kuona kila kitu kinachoendelea,,,walikuwa ni mabinti wakubwa wakiwa uchi kabisa,kwavile maji yaliwafikia magotini waliweza kuonekana maungo yao vizuri pindi waliposimama,,,Chuchu ndogo kifuani mwao zilivyokuwa zinarukaruka pale walipokuwa wakikimbizana,pia hata makalio yao kutikisika iliwafanya Jamali na Sande kusimamaisha mashine zao,,,kila mmoja alipeleka mkono kwenye mashine yake na kuanza kuishikashika

Wakiwa wamenogewa,hawana hili wala lile,mara wanashtuliwa kwa pamoja na mikono ya wadada wawili iliyowagusa mabegani mwao,,,,pindi walipozigeuza sura zao kuangalia nyuma kujua ni nani aliyewagusa,walipata kuwashuhudia dada wakiwa uchi kabisa huku vidole vyao vya kwanza wakiwa wameviingiza puani na kulegeza macho yao,,,ishara hii katika kijiji hiki akiifanya mwanamke ilimaanisha anahitaji usuguliwa na sio kuwa wapenzi,,,

Basi kwa upande wa Jamali alimchagua mmoja huku Sande naye akimvuta wa kwake,,,walipelekana kwenye majani ambapo kazi ngumu ikawa kwa Sande kijana asiyewahi kufanya mapenzi hata siku moja,,,kumbe ni mtoto eeh?,,haya kanyonye kwa mama kwanza,,,
.
.
MWISHO


Blog