Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

CHUMVINI


MTUNZI : GEOFREY MALWA


Naitwa Naima Masumbuko. Nina umri wa miaka ishirini na tisa. Unene kwangu niliuchukia sana hivyo sikuupa nafasi. Sikuupa nafasi unene huo kwa kufanya mazoezi, kila siku iendayo kwa Mungu nilijitahidi kutokosa kuuchosha mwili wangu ili nisiwe na manayama uzembe.

Urefu wa wastani, mwili ‘Simpo’ kusema kweli kuolewa kulinipendezesha sana hususani uso wangu uliokuwa na chunusi ndogo ndogo kabla ya kuolewa, niling’aa na kupendeza uso, ukawa laini usiokuwa na chunusi hata kidogo. Nilishawishi mno na huo ‘Usimpo’ wangu, siku na tumbo hata la kusingiziwa, kifuani utadhani ndio nilitoka kubalehe masaa machache yaliyopita, umbo langu lilijikata vizuri na kubinuka kihokozi, nilijiamini kwa umbo langu kuliko hata mwenye chura kubwa.

Niliolewa, huo ulikuwa ni mwaka wa tatu ndani ya ndoa. Mume wangu aliitwa Kaluma, tulipendana sana na huyo mwanaume, hakika sikuwahi kujutia maamuzi ya kuwepo ndani ya ndoa, upendo alionionyesha ulikuwa ni mkubwa sana, marafiki zangu Grace na Mwantumu, wote walinisifia mno na kudai nilidekezwa mno na mume wangu.

Mpaka kufikia muda huo, sikuwahi kumsaliti mume wangu kipenzi Kaluma wala kuwaza kutenda jambo hilo. Tena niliwashangaa wale waliokuwa wakiwasaliti waume zao, “Hivi hawaoni kinyaa? Hawajisikii aibu!” hayo ndio yalikuwa maswali yaliyokuja Kichwani mwangu kila nilipowatafakari wanawake walioko kwenye ndoa waliosaliti waume zao.
Kwakweli nilimshukuru sana Mungu kumpata mwanaume aliyenitimizia haja zangu zote wala tamaa sikuiweka mbele kama tai. Kitandani alihakikisha ananishughulikia vya kutosha na niliridhika kabisa, sikuwa mmoja kati ya wahanga wa tatizo la mwanaume,


kutokuwa na uwezo mzuri wa kunyandua. Mume wangu alijitahidi mno, mimi ndio nilikuwa nikimkimbia kwenye mechi siku zote.

Grace na Mwantumu walinizidi kitu kimoja, wao walikuwa ni watundu sana kwenye masuala ya mapenzi, na tulikuwa tukiongelea mambo hayo siku tukikutana pamoja yaani kila mtu akiwa na mume wake. Tulikuwa na utaratibu wa kutoka kwa pamoja kutembelea sehemu zenye mandhari nzuri, waume zetu tuliwaweka karibu kutokana na urafiki wetu, hivyo ni lazima utokee muda ambao wanaume watakuwa wanazungumza yao ambayo hatukujua kama walikuwa wakituzungumzia sisi au michepuko yao, hali kadhalika na sisi pia tulikuwa tukizungumza yetu.

Kama ujuavyo sisi wanawake, sijui tulifikia wapi tukaanza kuongelea mambo yetu ya ndani kabisa, tena tulijiachia kweli kweli,
“Katerero! Mmh hatari hiyo!” nilishangaa hivyo
“Achana nayo hiyo, ukipigwa lazima utoe maji kama yote,” Mwantumu alisema hivyo
“Ndio ile mwanaume anakupigapiga na kichwa cha dude kwenye kidungurushi kizalisha utamu mpaka unajikuta unarusha maji sio?” Grace alieleza hivyo
“Ewalah! Hiyo hiyo, na shemeji yenu anaiwezeaje, usiombe ndugu yangu utajikuta umekiri madhambi yako yote bila kujua,”
“Tena video yake hii hapa.” Mwantumu alitoa simu janja yake kisha akabonyeza simu yake na kuicheza video aliyotaja tuione, ilikuwa ni ya kibongo kabisa, waliongea Kiswahili, na ilionyesha dhahiri walikuwa ni wanandoa,
“Mume wangu naomba unitoe maji,”
“Usijali, maji tu,”
“Ndio nasikia raha ukinitoa maji.”
“Sawa, naomba mafuta kidogo,”

...



“Haya hapa mume wangu,”
“Vizuri, wacha nikutoa maji mke wangu.”
Walijibizana hivyo huku mwanamke akiwa ametanua miguu yake kama yuko leba anataka kujifungua mtoto. Mwanaume akawa ameshikilia dude lake na kulielekezea kwenye kapuchi ya huyo mwanamke. Taratibu akaanza mchezo wa kuichezea kapuchi kwa kutumia kichwa cha dude lake, alipagusagusa hapo mlangoni mwa kapuchi mpaka mkewe akawa anafanya kama anazungusha kiuno. Alipolenga kati, akawa moja kwa moja anachezea kile kidungurushi kwa kukipigapiga taratibu, kwani hata sekunde alichukua, maji yakaruka,
“Wewe! Ya kweli hayo?” Ilibidi niulize kwa mshangao
“Ndiyo, tena kawaida tu,” alijibu Mwantumu
“Itakuwa ‘wameediti’ tu,” niliendelea kutoamini
“Wewe mwenyewe unawasikia wakiongea Kiswahili, ‘wameediti’ kitu gani hapo?” Grace alichangia hivyo
Basi nikaiomba hiyo video ambapo alinirushia Mwantumu, Mimi na Grace ndio tulikuwa na kazi ya kwenda kujaribu kwa waume zetu. Kwenye urafiki wetu huo, haikuwahi kutokea hata siku moja tukashauriana upuuzi wa kutoka nje ya ndoa kwani tuliamini waume zetu wanatutosheleza na tuwalinde kwa kutochanganya kete maana magonjwa ni mengi kwa karne hizi.

Basi tulipomaliza hufurahia matembezi yetu, tulirejea nyumbani, Kichwani mwangu nikiwa na ile taswira ya kile alichofanyiwa yule mwanamke mpaka akarusha maji vile. Basi siku hiyo usiku tulikuwa tukiwa kwenye harakati za kujiandaa, nilikuwa natamani nimwambie mume wangu kuwa aniweke ule mtindo na anichezee kapuchi mpaka nitoe maji lakini sikujua nianzie wapi,

...




“Lakini, kabla hujamwambia mumeo, lazima umsome kwanza ni mtu wa aina gani,”
“Halafu kweli, wanaume wengine hawakawii kukuuliza kuwa umefundishwa na nani mambo yote hayo,”
“Sasa unamletea mtindo mpya, kitu gani kimkasirishe?”
“Mh! Wanaume wengine hudhani kama ukija na kitu kipya kwenye mechi basi itakuwaumefundishwa na mwanaume aliyekunyandua.” Mazungumzo hayo niliyakumbuka Kichwani mwangu kati yangu na wale marafiki zangu mchana.
Kitendo cha kuwaza sana hilo jambo kikanipelekea kutoshiriki vyema mchezo mume wangu alifika kileleni na kulimwaga kojo lake huku mimi nikiwa bado kabisa. Yote hiyo ni uwoga wa kumwambia nilichotaka anifanyie.

Nilitambua kuwa hakukuwepo na mwanaume mwingine aliyebeba jukumu la kunifanyia hivyo zaidi yake lakini moyo ulikuwa mzito sana kumwambia.
Ulipita mwezi mzima ambapo tulikutana tena, safari hii tulikwenda ufukweni kubarizi. Utaratibu wetu wa kukutana ilikuwa ni mwezi hadi mwezi. Siku za katikati tuliwasiliana lakini hatukuweza kuongelea mambo ya mapenzi labda mtu akiwa na tatizo. Hatukuwa na umbea usiokuwa na faida.
Basi tulipokutana tena moyoni mwangu nilikuwa natamani sana tufikie hatua tuongelee hayo mambo, kuyaanzisha sikutaka, Grace ni kama alinisikia, akatoa mrejesho kuwa alimwelekeza mume wake na alishukuru kuwa hakumgombeza, alimfanyia katerero na akajisikia raha mno, alikiri kuwa upendo kwa mume wake umezidi mara mbili, heshima pia imezidi mno. Alipomaliza, walinigeukia mimi ili niseme lolote, ilinibidi niwaigizie, kwanza nilimshukuru Mwantumu kisha nikatoa

...

mrejesho uliofanana na Grace.
Baada ya hayo, Mwantumu sasa alijiona ndiye kungwi wetu, alikuja na jambo jipya, hilo jambo ndilo lilivuruga utaratibu wangu wote wa kufikiri Kichwani, lilinikaa Kichwani na kunisuta kila nilipotembea,
“Leo nimekuja na nyingine,” alianza kwa kusema hivyo
“Tupe tupe kungwi wetu!” Grace alishadadia hivyo
“CHUMVINI” Aliposema hivyo Mwantumu, wote tulishangaa na kumhoji ndio nini
“Ngoja nimtumie kila mtu aangalie kupitia simu yake, washeni ‘Bluututhi’ zenu.”
Basi tulifuata maelekezo hayo, tukawasha ‘Bluututhi’ kisha akatutumia hiyo video iliyobeba maana ya chumvini. Niliitazama kwa makini mno,
“Ilikuwa hivi, ni mwanamke aliyewekwa mtindo kama panya aliyepasuliwa maabara, ambapo alikuwa mtupu, mwanaume naye alikuwa mtupu pia, Kumbe chumvini ndio kunyonya kapuchi, hapo ndio nilimwelewa, basi picha ilivutwa karibu na nilishuhudia jinsi ulimi wa huyo jamaa ukilamba kapuchi bila kinyaa chochote, jinsi ulivyokuwa ukizama na kutoka mpaka kapuchi yangu ilitetema.
Yule jamaa alinyonya kapuchi mpaka kwa kutumia lipsi zake, alikibana kile kidungurushi chenye utamu, sasa kila alipokipalaza na ulimi kile kidungurushi, nilihisi kama ndio anakipalaza cha kwangu. Akaingiza na kidole akawa anachokonoa huko ndani kwa juu, nikamwona mwanamke akizidisha kelele huku akijinyonyanyonga na kumshikilia kichwa huyo jamaa kwa nguvu, lugha iliyotumika ilikuwa ani kiingereza. Huwezi amini alirusha maji yaliyommwagikia jamaa usoni, hakuacha, jamaa aliendelea na zoezi lake mpaka mwanamke akifanya hivyo mara tatu. Video ikawa imeishia hapo.”
“Mmeona mambo hayo!” alisema Mwantumu
“Mh! Sio mchezo, mume wangu alijaribu siku moja na hakurudia tena,” alisema Grace
“Kwakweli Hapana, mtu akunyonye huku chini bila kinyaa?”
“Watu wanazama chumvini, tena wote hapa tuna[endwa na waume zetu, ukimwelekeza lazime azame chumvini, hiyo raha yake mtakuja kunisimulia,”
“Sasa Hakuna magonjwa?”
“Magonjwa yapo, ni jukumu lako kuhakikisha kapuchi inakuwa safi muda wote,”
“Unajua nauliza hivyo kwasababu, maumbile yetu ni tofauti na ya kwao,

MWISHO


Blog