Search This Blog

Sunday, July 24, 2022

KITUMBUA CHA LOVENESS

 



MTUNZI : GEOFREY MALWA


Loveness Shilinde ni msichana mrembo aliyejaaliwa umbo la mvuto wa aina yake,kiukweli alivutia sana machoni mwa vidume wengi,tatizo lake,kila mwanaume amwonaye alitaka kufanya naye mapenzi,watu walimuhisi kama ana pepo kutokana na tabia yake lakini nakuambia amini usiamini Loveness alikuwa ni muumini mzuri wa kilokole hapo awali na aliyemfanya kuwa na tabia hii ambayo wengi huiita umalaya ni mchungaji wake,ukweli wote huu hapa

Anza nayo…

"haloooo..."
"hallo..nani mwenzangu?'
"aaah...aah.naitwa Loveness wengi hupenda kuniita nesi wa mapenzi..." kwa sauti ya mahaba iliyolegea,alisema hivyo...
"samahani umekosea namba dada..."
"oooooh...no no no no...sijakosea wewe...mmmh jamaniii..ina maana mara hii umenisahau?
"aah..ujue laini yangu majina yote yalifutika ndio maana sijakukumbuka.." alijibu hivyo baada ya kuhisi hali tofauti mwilini kutokana na sauti ya mtoto kike
"wewe si Robert?"
"hapana mi naitwa Nobert"
"aaaaah..okey nami nilijisahau kidogo...sahivi uko wapi?"
"nipo Boko sehemu fulani hivi Daresalaam...?
"jamani natamani kukuona mimi mwenyewe niko Tegeta kwa ndevu...
"oooh kumbe karibu hivyo?"
"ndio"
"lakini kwa sasahivi nipo maeneo ya Tegeta ndio najiandaa kurudi nyumbani...
"jamani kwanini usije kwangu halafu ndio uendelee na safari yako unajua ni muda mrefu hatujaonana?
"tatizo mimi sipajui kwako"
"nakuja kukuchukua sasa hivi uko wapi"
"nipo stendi hapa Tegeta kibaoni"
"nakuja..."

Yalikuwa ni maongezi kati ya Loveness na kijana aitwaye Nobert,wawili hawa hawajawahi kukutana hata siku moja yaani kwa kifupi hawajuani,Nobert anatambua wazi kuwa yeye na Loveness hawajuani ila kwa jinsi alivyokuwa anaongea kimahaba,akajikuta anatamani kumjua Loveness,kwa upande wake Loveness huo ndio ulikuwa mchezo wake,kwa akili ya tamaa aliyoongozwa nayo Nobert baada ya kusikia muda si mrefu atafuatwa,alishazunguka kwenye duka fulani lililokuwa karibu yake akanunua Kondomu pakti nzima aina ya Tatu bomba,tayari alishajiandaa kwa mashambulizi dhidi ya Loveness....dakika kumi na tano zilipita,simu ya Nobert ikawa inaita,tayari namba alishaisevu,jina Loveness ndili lillilotokea,akapokea.


"we uko wapi? mimi nimeshafika na gari yanguhapa aina ya Rav 4 unaiona?
"ndio hii ya rangi nyekundu?"
"hapana...sasa ya nyuma yake"
"aaaah..nimeiona si ya rangi ya kijivu?
"ndio,basi mi naipaki halafu wewe haraka uje"
"poa"

Nobert hali ya uwoga kwenye moyo wake haikuwepo kabisa,hakuwaza kama angeweza kuitwa na jini au ulikuwa ni mtego kwa mke wake,akili ya ngono ndio ilikuwa inafanya kazi,basi kwa mwendo wa umakini aliifuata ile gari,kisha akafungua mlango bila kusita na kuingia ndani ya gari kiti cha mbele..... "paah!" moyo ulimpasuka hivyo Nobert baada ya kuingia na kukaa ndani ya gari,alipomtazama Loveness,ambaye alikuwa amevalia khanga moja,aliyojifunga kupitia shingoni na kuishia juu kabisa ya mapaja,hali iliyosababisha mabega yake na mapaja kuonekana vizuri,muda huu taa ya ndani ya gari ndio ilikuwa ikiwamulika,macho ya Nobert yaliganda kwenye mapaja ya Loveness kwa muda kidogo...

"Nobert?" alishtuliwa kwa kuitwa hivyo nina lake...
"naam Loveness"
"mambo?"
"poa tu,sijui wewe?"
"naomba usishangae mimi kuvaa hivi,sikupenda kujibana hususani kwa wakati kama huu wa usiku"
"wala hamna tatizo usijali kabisa"
"nikuuliza swali?
"yap niulize"
"kwanini uliweka imani kubwa mpaka ukanisubiri bila kufikiri labda ningekudanganya?
"niliitumia imani ile ile uliyoniamini wewe na kuja kunichukua,pengine na mimi ningekudanganya kwamba sipo hapa kituoni?"
"mmh we sikuwezi"

Loveness aliendesha gari mpaka kwenye nyumba anayoishi,njia nzima Nobert alikuwa ni mtu wa kupata mateso kila alipoutazama upaja wa Loveness hasa pale ulipokuwa unacheza cheza,na kusababisha khanga aliyoivaa kupanda juu kidogo hasa gari ilipopita kwenye makorongo,alianza kushuka Loveness kisha kufuatia Nobert,muda huo damu ya Nobert ilikuwa ikichemka sana,akili yake haikuwaza kitu kingine zaidi ya kufanya mapenzi,habari ya kupata UKIMWI alisahau kabisa... "mmmmh.. hapa ndio kwangu nina vyumba viwili na sebule karibu sana" kwa ishara ya kichwa Nobert aliitikia,basi Loveness ndiye aliyeanza kutangulia kueleke kwenye mlango wa chumba chake... "mashaallah" ni neno alilosema kimoyomoyo Nobert pale alipoyashuhudia makalio ya Loveness




ambayo yalikuwa ndani ya khanga moja jinsi yanavyotikisika,yaani utafikiri tako moja lilikuwa na ugomvi na lingine kwa jinsi yalivyosukumana,Loveness alishamsoma Nobert kuwa yuko hoi,hivyo wakati anatembea alizidisha kujitingisha makalio kwa makusudi,mpaka anashika kitasa cha mlango ile kugeuka nyuma bado Nobert amesimama pale pale anashangaa... "jamani Nobert tabia mbaya hiyooo kuwaangalia wenzioooo muone kwanza.." kauli hiyo ilimfanya Nobert kutabasamu kisha kisha akaanza kumfuata Loveness kwa hatua za taratibu......

Alifungua mlango Loveness na kuushikilia huku akimwangalia Nobert ambaye ndio alikuwa anaingia,cha kushangaza alipoingia tu,ndani humo macho yake yalipoe;lekea kwenye TV hakuamini macho yake,ilikuwa ni CD ya X au wengi hupenda kuiita Pilau...basi hali ya mwili wake ndio iliyozidi kubadilika,mtaimbo wake uliinuka mpaka akawa anahisi anaweza kuchana nguo ya ndani...

"karibu sana,vipi huipendi hiyo CD niitoe?".aliuliza hivyo Loveness huku akimwangalia Nobert kwa jicho la makusudi lenye kila aina ya uchokozi......

"hapana iache tu,kwani wewe unapenda kuitoa? kwa jibu hili la Nobert lilimfanya Loveness kuamini kabisa kuwa kijana huyo wa watu anateseka kimahaba
"basi tuiache tu" alijibu hivo Loveness

Kufuatia kauli ya Loveness ghafla umeme nao ukakatika,sebuleni hapo kukatawala giza kiasi cha wote wawili kutoonana,akiwa amekaa kwenye Kochi Nobert,kuzidiwa kimahaba kulimfanya awe kama bubu,basi Loveness alizunguka nyuma ya kochi kisha akaegemeza mikono yake kwenye hilo kochi hali iliyofanya kichwa chake kuwa nyuma ya kichwa cha Nobert,kwa vile ilikuwa ni giza,Loveness hakumwonea tena aibu Nobert,hivo aliusogeza uso wake mpaka usawa wa masikio ya Nobert kama mtu anayetaka kumnong'oneza jambo,aliutoa ulimi wake kama mbwa mwenye kiu ya maji kisha taratibu akawa anauingiza masikioni mwa Nobert kwa mtindo wa kuuzungusha,msisimko mkali ulimpata Nobert ambaye alikuwa amefumba macho kwa raha alizojisikia,Loveness naye baada ya kuona Nobert ametulia alijua wazi nini kijana huyo alikuwa akihitaji,wakati ulimi wake ukiwa ndani ya sikio la kulia kwa Nobert,kidole chake cha kati kilichokuwa na kucha ndefu kidogo alikuwa akikiingiza


kwenye sikio la kushoto,Nobert alikuwa akijitingisha kwa kushtuka kama mtu anayeugua ugonjwa wa kifafa,fimbo yake ilikuwa imekasirika haswa,mara mkono wa Lovenees nao haukuchelewa kufika kwenye ikulu ya Nobert ambapo uliikuta fimbo imekasirika sana... "jamani Nobert unayo kubwa! leo nitafaidi mpaka nichoke mimi" maneno hayo aliyaongea Loveness kwa sauti iliyozidiwa kimahaba huku mkono wake huo ukiishika fimbo ya kijana huyo kwa mtindo kama anaipaka mafuta,hapo ndipo Nobert uzalendo ulimshinda akamvuta Loveness kisha akamweka kwenye Kochi,kisha wakaanza kucheza mechi,kiukweli mechi ilikuwa kali sana,japo Nobert aliwahi kutoa maziwa ya kihindi alijikuta anaunganisha mzunguko wa pili bila kupumzika,wote wawili walihitaji kuoneshana ufundi,hakuna aliyekuwa anataka kukubali kushindwa,lisaa moja mbele wote walitangaza kuvunja dafu,walijikuta wanapiga mayowe kwa pamoja mpaka mwisho wa mchezo Nobert alijikuta amejilaza juu ya kifua cha Loveness,hali ya uchovu ilikuwa kwa wote wawili,basi kwa pamoja walielekea bafuni kuoga,wakiwa wanatoka bafuni nao umeme ukarudi,wakatazamana usoni kisha wakacheka,Nobert alipotazama ukutani ilikuwa ni saa tisa na robo usiku,kwa raha alizopewa wala hakuhitaji kuwa na wazo la kurudi nyumbani,basi kwa wakati huu baada ya kutoka kuoga walielekea chumbani ambapo waliendelea na mechi mpaka asubuhi...

Tatizo la Loveness ambapo hapo awali alisababishiwa na aliyekuwa Mchungajhi wake katika kanisa la kilokole ni kwamba muda wote maumbile yake yalihitaji mwanaume wa kufanya naye mapenzi ambaye atamuda kwenda mwendo mrefu zaidi bila kikomo,Nobert alijikuta akivimba kichwa kila lipoona Loveness anamwomba warudie tendo baada ya kupumzika kidogo,kwa mawazo ya Nobert alijua ikifikia wakati wa Asubuhi itakuwa mapumziko,kumbe hali haikuwa hivyo,kwani Loveness hakumpa hata dakika ishirini za kupumzika kila walipomaliza mzunguko mmoja,mpaka saa tatu asubuhi inafika bado Loveness hamu yake haijaisha,alionekana ndio kama anaanza,Nobert akaanza kuchoka,ikafikia wakati akiambiwa anakataa,kwa utundu wa mahaba alionaokuwa nao Loveness,ulimfanya Nobert kuendeleza mchezo lakini ilipofika saa saba mchana,

Nobert ili kumkata hisia Loveness akawa anamjibu majibu ya ovyo,kwa muda huu Nobert alikuwa amejilaza kwa kugeukia ukutani .....

"Nobert! Nobert! Nobert! aliita hivyo Loveness kwa lengo la kuendeleza Mchezo

"kwani lazima bwana! mi nimechoka.." alijibu Nobert huku akiendelea kulala

Loveness safari hii hakumsemesha,alienda na kuchukua chakula ambapo tayari kilishaandaliwa na mfanyakazi wake aitwaye Dionisia,kwa muda mchache Nobert alioachwa mule ndani,kuna wakati alipojaribu kusimama akajikuta anadondoka chini.tayari nguvu za miguu zilishamuishia

Loveness aliporudi wala yeye hakula,alimkaribisha Nobert ambaye alikifakamia chakula na kukila kama hana akili nzuri,alipomaliza kula akapumzika kwa muda kidogo,kisha Loveness akaanza kumsogelea na kumbusu sehemu zote za mwili huku mikono yake ikimpapasa kisawasawa,alifika mpaka kwenye ikulu ya Nobert lakini hakufanikiwa kusimamisha mlingoti wa kijana huyo

Nobert baada ya kuona ameridhika kabisa aliamua,kusingizia kuna mahali anatakiwa anende haraka ni muhimu,Loveness hakuwa na jinsi zaidi ya kumruhusu,ruhusa ya Loveness ilikuwa kama upenyo mzuri kwa Nobert maana naye aliona kama atadharaulika kwa kushindwa kumhudumia Loveness

Hazikupita dakika tatu,baada ya Nobert kuondoka,Loveness aliinua simu yake ya mkononi kisha akafuta namba ya Nobert,akandelea kushusha majina chini mpaka akalifikia jina alilolisevu "Kilaza" akalipigia

"hellow baby vipi nije gheto?"
"ulijuaje kama nimekupigia nikuite maana nina hamu kweli na wewe fanya haraka"
"nipe dakika zilo tu nitakuwa hapo"
"sawa nakusubiri nimejilaza kitandani na khanga moja tu halafu sijaifunga"
"usinitamanishe jamani ujue nipo barabarani watu watanishangaa"
"aya ndio ufanye haraka jamaniiii"
Loveness akiwa juu ya kitanda chumbani ghafla hali ya chumba chake ilianza kubadilika,kuta zote kuzunguka chumba zikawa kama zimepakwa damu,hali hiyo ilidumu kwa muda wa dakika mbili nzima,cha ajabu Loveness hakuonekana kushtuka wala kutawaliwa na hofu yeyote kabisa,ndio kwanza aliachia tabasamu kwa mbali,ilionyesha hali hiyo sio ngeni kwake

Akiwa bado ameketi kitandani sauti nzito ya mwanaume ilisikika


"jana umetulaza na njaa kabisa,umetuletea damu chafu,itabidi huyu leo iwe mwisho wake,kumbuka,hutakiwi kumzoea mwanaume zaidi ya mimi mchungaji wako,kwaheri mke wangu Kipenzi" hali hii kwa Loveness ilionekana ni kawaida sana kwani hakuwa na hofu zaidi kusikiliza kwa makini,ghafla kuta zilibaki za kawaida pia hata sauti nayo ilitoweka

Kumbe Loveness ndani ya chumba chake misukule ndio ilitawala,mmoja kati ya misukule hiyo ndiye hapo awali alikuwa Mchungaji wake katika kanisa la kilokole,kwahiyo kazi aliyonayo Loveness ni kuwatega wanaume ili washawishike kufanya ngono na yeye kisha mwisho wa tendo awe chakula cha misukule

"ngo...ndo..ngo" mlango ulibishwa hodi,Loveness aliamka,kwa mwendo wa uchovu akaelekea kwenye mlango,taratibu alikishika kitasa cha mlango huo na kufungua mlango...alikuwa si mwingine ni yule jamaa aliyempigia simu aje gheto,basi kwa furaha zote jamaa alipokelewa na mabusu motomoto huku akivutwa kuelekea kitandani,naye jamaa akaanza kujibu mashambulizi,Loveness hakumpa hata muda wa kuongea kijana huyo alionekana kujaa hamu ya kufanya mapenzi

Basi kama ilivyo kawaida ya Loveness,ambaye hujifananisha na chatu kwenye uwanja wa sita kwa sita,hupenda kumlainisha mwanaume mpaka awe hoi ndio waanze mechi,basi alitumia utundu alionao kumgusa kila kona kijana huyo huku ulimi wake ukiwa kama msasa,alicheza na mwili wa kijana huyo mpaka alipoona amekuwa hoi haswa,bila kuchelewa aliona kabisa kifuatacho ITV ni mechi kali,wote wawili walikuwa kama walivyozaliwa,Loveness aliuvaa uhusika kama dereva wa mechi hiyo,alimlaza chali kijana huyo ambaye kiukweli alikuwa yuko hoi kimahaba,kama kawaida ya Loveness huwa hajisikii raha kama hajalamba koni,basi aliisogelea koni ya kijana huyo huku ulimi wake akiutoa na kuurudisha ndani ya mdomo,aliikamata kisawasawa na kuanza kuimung'unya mdomoni mwake,hapo ndipo kijana huyo alianza kutoa ahadi nyingi sana,Loveness hakuacha kufanya hivyo mpaka alipohisi dalili za koni ya kijana huyo kutoa maziwa,muda huo miguu ya jamaa hiyo haikutulia sehemu moja,ilikuwa ikicheza cheza kwa raha alizosikia...

MWISHO


Blog